mkulimamiwa
JF-Expert Member
- Mar 4, 2025
- 2,254
- 4,466
Hata kama hatukubaliani sana juu ya kwa nini kunahitajika REFORMS hasa kwenye nyanja za kisiasa
Lakini leo embu yatufikirishe haya yafuatayo
Wabunge wetu wakikaa bungeni miaka mitano tu, Kiinua mgongo chao ni 400M, hapo hakuna cha aliye na shule na asiye na shule wote watalipwa mkwanja sawa
Mtumishi wa UMMA, uwe msomi wa Degree na hata Phd au kiwango chochote kile, huwezi kumfikiaa mbunge darasa la saba aliye kaa bungeni kwa miaka mitano akabutua kiinua mgongo chake cha Milion mianne na wakati huo huo, wewe unakaa kazini miaka 30 n.k, umejutahidi sana ni 100M, Je hapa hakuhitaji REFORMS?
Chadema wameona mbaali sana hawa watu,
Mfano, Mwalimu mwenzangu, Posho ya mwezi imezidi saana ni 1.M, wengine wetu ni elfu mia tano hadi mia saba hapo
Umestaafu, unapata kiinua mgon5fo chako cha 60 mpaka 70.M
Wakati posho tu ya mbunge kwa miezi yake mitatu ni sawa na kiinua mgongo chote cha Mwalimu kwa miaka yote aliyokaa kazini, ajabu ndiye anayetazamiwa kuipitisha CCM iingie madarakani bila ya kuwepo REFORMS
Daktari anafanya kazi nzuri sana katika nchi na huwenda ndiye mtu mhimu sana katika sector ya watu mhimu, cha ajabu na yeye, kiinua mgongo chake, hakifiki hata nusu ya kiinua mgongo cha mbunge
Kuupata Udaktari ni utulize kichwa haswaa, miaka kibao unautafuta, cha ajabu mtu aliyeishia darasa la saba ndiye anayemtungia sheria za kipi afanye na kipi aache 😁
Nchi yangu Jamani??
Lakini leo embu yatufikirishe haya yafuatayo
Wabunge wetu wakikaa bungeni miaka mitano tu, Kiinua mgongo chao ni 400M, hapo hakuna cha aliye na shule na asiye na shule wote watalipwa mkwanja sawa
Mtumishi wa UMMA, uwe msomi wa Degree na hata Phd au kiwango chochote kile, huwezi kumfikiaa mbunge darasa la saba aliye kaa bungeni kwa miaka mitano akabutua kiinua mgongo chake cha Milion mianne na wakati huo huo, wewe unakaa kazini miaka 30 n.k, umejutahidi sana ni 100M, Je hapa hakuhitaji REFORMS?
Chadema wameona mbaali sana hawa watu,
Mfano, Mwalimu mwenzangu, Posho ya mwezi imezidi saana ni 1.M, wengine wetu ni elfu mia tano hadi mia saba hapo
Umestaafu, unapata kiinua mgon5fo chako cha 60 mpaka 70.M
Wakati posho tu ya mbunge kwa miezi yake mitatu ni sawa na kiinua mgongo chote cha Mwalimu kwa miaka yote aliyokaa kazini, ajabu ndiye anayetazamiwa kuipitisha CCM iingie madarakani bila ya kuwepo REFORMS
Daktari anafanya kazi nzuri sana katika nchi na huwenda ndiye mtu mhimu sana katika sector ya watu mhimu, cha ajabu na yeye, kiinua mgongo chake, hakifiki hata nusu ya kiinua mgongo cha mbunge
Kuupata Udaktari ni utulize kichwa haswaa, miaka kibao unautafuta, cha ajabu mtu aliyeishia darasa la saba ndiye anayemtungia sheria za kipi afanye na kipi aache 😁
Nchi yangu Jamani??