No matter how sweet it is......

Ukiona mtu anakuchapa kwa hilo tukio jua tayari kashapata sehemu nyingine ( greener pastures) ya kuhemea.

Hii tabia Mara nyingi inaendekezwa na wanawake.
Kuna mtu huko nje kashapigwa kibuti na Nakadori😂
🤣🤣🤣🤣
See Baby it can't work between us.... we just have to end it here...
Thanks for the sweet moments we shared and sorry for the bad ones...
Sorry love


Na hapo umepelekwa kwenye bongeeee la dinner...unaweza tamani kupaa au kutapika ulicholishwa 🤣🤣🤣🤣
 
Nimefurahi uko single Sasa,lile jibu langu vipi mrembo?
 
Improtou dumping that is😂, I can't imagine the degree of pain one can feel in that situation.
Hapa unaweza hisi Dunia yako imefika mwisho ghafla.
 
Improtou dumping that is😂, I can't imagine the degree of pain one can feel in that situation.
Hapa unaweza hisi Dunia yako imefika mwisho ghafla.
Wapo ving'ang'anizi wanaokataa kuachika
Sasa baada ya hapo hakuna picha wanaacha kuona
 
💯🤝 Kweli
 
Wapo ving'ang'anizi wanaokataa kuachika
Sasa baada ya hapo hakuna picha wanaacha kuona
Ila dalili za kuachwa huwa zinaanza kuonekana mapema tu.Ukiwa sharp minded then probably you'll be the first one to take the move😂 Yaani Ile yeye anajiandaa kukupiga " character development" wewe ushajiongeza tayari kwa kumove on.
Watu wengi hawajui kusoma alama za nyakati,wakipigwa kibuti Cha ghafla wanagala gals Kama watoto wadogo.
 
Wapo wasioonesha hata
Unakuta umemtunuku mtu tunda amenogewa...ashaanza na wivu za kijinga za kutaka kujua ratiba na why kweny video call hukuonekana vizuri kama vile unaficha kitu...then out of no where unampiga cha mbavu kwa style ya am sorry it can't work coz of this and that.....
 
Kinachotugharimu ni matarajio ya kupata vizuri na vinavyopendeza na tunavyovitamani na vya kutufurahisha kutoka kwa binadamu mwenzetu ambaye naye anatarajia hivyo hivyo.

Mwisho wa yote vinakisekana kwa sababu binadamu hatujawahi kutosheka na kimoja, ukipata hiki utataka kile ukipata kile utataka kingine, ongezea na ugumu wa maisha, matokeo yanakuwa ndio hayo.

Kwa sasa watu wanaoishi kwa amani na furaha ni watawa pekee, kwao ni changamoto za kawaida ambazo kila kiumbe anazo.
 
Duh! Indeed that's a very diplomatic way of parting ways.I can't even know how I can cope up with the situation if I was the victim 🤔 Bt the bottom line of is that you just have to accept the outcome and move on swiftly
 
Duh! Indeed that's a very diplomatic way of parting ways.I can't even know how I can cope up with the situation if I was the victim 🤔 Bt the bottom line of is that you just have to accept the outcome and move on swiftly
Dunia ina majasusiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…