Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Kwa waliosikiaa asbh BBC
waziri wa maendeleo ya jamii wa india ameshauri familia zenye watoto wa kike popote walipo ikitokea anaolewa ameshauri bwanaharusi kuhakikisha anajenga choo kwanza kwenye nyumba ya wakwe na hii ni kwa sababu nyumba nyingi azina vyoo na wengi hutegemea vyoo vya mitaani ambavyo ni vingi kuliko majumban...mh ameomba sana hilo kuzingatia ili kuweza kuboresha afya ya wa hindi popote pale walipo india so wazazi sio tu mnakubali kienyeji ngombe watengeneze choo aisee hii ingekuwa dar ,,mpaka raha
waziri wa maendeleo ya jamii wa india ameshauri familia zenye watoto wa kike popote walipo ikitokea anaolewa ameshauri bwanaharusi kuhakikisha anajenga choo kwanza kwenye nyumba ya wakwe na hii ni kwa sababu nyumba nyingi azina vyoo na wengi hutegemea vyoo vya mitaani ambavyo ni vingi kuliko majumban...mh ameomba sana hilo kuzingatia ili kuweza kuboresha afya ya wa hindi popote pale walipo india so wazazi sio tu mnakubali kienyeji ngombe watengeneze choo aisee hii ingekuwa dar ,,mpaka raha