Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependa hii Watanzania wengi tunabweteka tukishakuwa na marks nyingi tunafikiria kuwa ni kigezo cha kupata kazi sasa hivi kinachoanagliwa efficiency yako.Upendeleo upo sawa lakini hatuwezi kuconclude kuwa jamaa kapendelewa,huenda jamaa alitoa maelezo ya kujitosheleza kuliko yule anayetegemea vyeti tu ndo vimbebe,kumbuka sasa hivi tupo kwenye liberalism.Cheti si uwezo baba. Huenda mwenzio alijibu kwa ufasaha maswali yote kushinda wewe na gpa yako. Siku hizi unaangaliwa uwezo na sio vyeti. Umenikumbusha forum flani, facilitators 5, mmoja wa USA, holland, uganda, kenya na mtz 1. Wote wana digrii moja moja ila mtz tu ndo ana phd. Akisimama kupresent mada unataka kuingia chini ya meza kujificha. Hata intern mkenya ana nafuu.
Si kweli kama kampita kila kitu je hata katika uandishi wa barua kampita,je hiyo kozi na fani aliyomba zinaendana?Pengine barua aliyoandika haikuendana na aina ya vyeti alivyo navyo? so kuna many factors japo katika kuomba kazi yahitaji uvumilivu huwezi pata siku moja kazi.haujaelewa hoja mzee .jamaa sio ameshindwa maswali jamaa hajaitwa kabisa kwenye interview na amempita kwa kila kitu huyo aliyeitwa kwa matokea ya shule na chuo