NMB na CRDB

Pole sana mtu wangu,lakini NMB na CRDB sio "end of the road" we ndio kwanza umemaliza masoma yako.Endelea kutafuta kazi bila kukata tamaa.Majalibu ni mengi na hiyo ndio hali halisi ya hizo tunazoziita benki kubwa hapa nchini.Ukweli ni kuwa huwezi kupata kazi bila mtu kukujua au kuzama mfukoni.Kinachofanyika ni kushort list kama kawaida lakini kwenye usahili wa kuajiriwa hapo ndio mwisho wako kama huna hata moja ya vigezo hivyo.Hata ukienda kanda nyingine au makao makuu wembe ni ule ule.
Kuna vigezo vya kuajiliwa benki lakini hivyo viwili havipo,kwani wao walipoajiliwa nani alikuwa anawajua?au walimhonga nani?Hii ni tabia ambayo imejitokeza baada ya kanda kupewa madaraka ya kuajili na ukosefu wa maadili ya kazi.Kama kweli unataka wafanyakazi wazuri huwezi kufuata vigezo hivyo.
Nafikiri huu ni kansa ambayo imekomaa kwenye vyama vya siasa,serikalini,mashirika ya umma,mashirika binafsi nk.
 
Ndugu zangu wana JF ukisikia Bank za kipumbuvu katika kuajili wafanyakazi wake ndiyo hizi mbili, kwa mtazamo wangu ni Namba moja.Leo nitaielezea moja nayo ni NMB.

Hawa jamaa Namuomba Mungu Kama vp uongozi wa Highlands Zone walaaniwe na mabaya yawe juu yao. July,2012 walitangaza ajira zao kwa kubandika tangazo kwenye mti hapa ofisi zao Mbalizi Road Mbeya ambapo ndiyo makao makuu ya Highlands zone. Mimi na jamaa yangu tuliandika barua kwa kufuata viwango vya barua za ajira, namimi nina alama nzuri za kufaulu kuliko jamaa yangu katika kila hatua ya shule. Mwenzangu akatangulia kupeleka Maombi ya kazi lakini hukuambatanisha na cheti cha kuzaliwa, mimi nilivyopeleka mpokeaji akaniambia ambatanisha na cheti cha kuzalia, ikabidi nirudi kuchukua na kuambatanisha. Sasa jamaa yangu wala hakuambatanisha,Nadhani Siku ya Kupitia hayo maombi wakampigia simu alete hicho cheti na akaitwa kwenye usaili na kazi akapata, mimi hata kuitwa usili hawakuthubutu.

Swali: Hawa jamaa huwa wanatangaza kazi kwa ajiri ya kufurahia tunavyohangaika kuomba hizo nafasi au ili iwaje?Na ukweli ni kuwa huyo jamaa yangu kaka yake yupo hapa hapo hapo mbeya na anafahamiana na hawa wa NMB na ndiye alifanya mpango mzima.
Nilikuwa najaribu kuwajuza kuwa msione kwanini hamwitwi kwenye usaili na hali huku walitangaza na mliomba wanatuzuga tu hawa. HAKIKA WALAANIWE NA MWENYEZI MUNGU WENYE TABIA HIZI.
kwa aina hii ya mapokeo na uwezo wa kuchanganua mambo wala simshangai mwenyekiti wa pannel alipokata jina lako!
 
ndugu zangu wana jf ukisikia bank za kipumbuvu katika kuajili wafanyakazi wake ndiyo hizi mbili, kwa mtazamo wangu ni namba moja.leo nitaielezea moja nayo ni nmb.

Hawa jamaa namuomba mungu kama vp uongozi wa highlands zone walaaniwe na mabaya yawe juu yao. July,2012 walitangaza ajira zao kwa kubandika tangazo kwenye mti hapa ofisi zao mbalizi road mbeya ambapo ndiyo makao makuu ya highlands zone. Mimi na jamaa yangu tuliandika barua kwa kufuata viwango vya barua za ajira, namimi nina alama nzuri za kufaulu kuliko jamaa yangu katika kila hatua ya shule. Mwenzangu akatangulia kupeleka maombi ya kazi lakini hukuambatanisha na cheti cha kuzaliwa, mimi nilivyopeleka mpokeaji akaniambia ambatanisha na cheti cha kuzalia, ikabidi nirudi kuchukua na kuambatanisha. Sasa jamaa yangu wala hakuambatanisha,nadhani siku ya kupitia hayo maombi wakampigia simu alete hicho cheti na akaitwa kwenye usaili na kazi akapata, mimi hata kuitwa usili hawakuthubutu.

Swali: Hawa jamaa huwa wanatangaza kazi kwa ajiri ya kufurahia tunavyohangaika kuomba hizo nafasi au ili iwaje?na ukweli ni kuwa huyo jamaa yangu kaka yake yupo hapa hapo hapo mbeya na anafahamiana na hawa wa nmb na ndiye alifanya mpango mzima.
Nilikuwa najaribu kuwajuza kuwa msione kwanini hamwitwi kwenye usaili na hali huku walitangaza na mliomba wanatuzuga tu hawa. Hakika walaaniwe na mwenyezi mungu wenye tabia hizi.



je mna experience sawa, ila nasi ni kama chuki binafsi iviii
 
Alitakiwa avae shati la mikono mirefu.
Kama hajui game linavyoenda atamaliza sole za viatu akitafuta kazi.
 
jamani wengine humu msionyeshe ujinga wenu,mtu anaharibu kueleza yaliomkuta unaropoka ujinga..penda kuwa sehemu ya solution ..hayo mambo yapo na sote tunajua na matokeo ya hayo tunayaona tunapata watendaji ma deed woods.....NHIF pia wamefanya upumbavu huo juzi tu hapa wamewapa watu kazi bila hata Oral interview na moja ya hao watu namjua
 
Du mmenigusa sana. Jamaa wa nmb kazi yao ni "kuwatia" wanaoomba kazi bank zao alafu wawape kaze. Wapumbavu sana. Siku hizi ajira zao wameziweka zonal basi huku kwenye mikoa ni kuwatia tu madada zetu tu kama hawavui chupi na kazi basi. Crdb wao ni undugunaizesheni tu shenzi sana
 
jamani wengine humu msionyeshe ujinga wenu,mtu anaharibu kueleza yaliomkuta unaropoka ujinga..penda kuwa sehemu ya solution ..hayo mambo yapo na sote tunajua na matokeo ya hayo tunayaona tunapata watendaji ma deed woods.....nhif pia wamefanya upumbavu huo juzi tu hapa wamewapa watu kazi bila hata oral interview na moja ya hao watu namjua

nawachukia wale wote wanaoona kama jamaa ana wivu kwa jamaa yake kupata kazi akati yeye anajaribu kuelezea hali halisi ilivo na ndivyo ilivo kiukweli..watu mjaribu kuelewa aseee
 
nawachukia wale wote wanaoona kama jamaa ana wivu kwa jamaa yake kupata kazi akati yeye anajaribu kuelezea hali halisi ilivo na ndivyo ilivo kiukweli..watu mjaribu kuelewa aseee
hatuna hakika na maneno yake
yamekaa kichochezi na wivu ndani yake
 
hii ndio application social capital theory; rafiki yako amekuzidi kwa social capital yaani ametokea social class gani, anajuana na nani, na ananini?
 
Kama ndo hivyo bs omba tena si tayri jamaa mnaefahamiana keshaingia ndani ya nyumba! Akufanyie mpango...ila GPA haihusiani na kupata kazi!
 
at school you need to spend and invest time tatizo wazee wa GPA mnainvest sana kwenye time mnasahau kuspend time hapo ndo mnapopishana na kazi, rudi chuo ukawe tutor uwe tandiboi wa maprofesa.
 
Kwa taarifa yako kampuni nyigi siku hizi wanaogopa hayo ma GPA yenu, coz mnaringa , mkipata uzoefu tu mnaacha kazi mnaenda kwengine, ndo maana umepigwa chini, watu wanaogopa cost za kuajili mara kwa mara
 
Hata hivyo mwenzio aliwahi kupeleka,wakati mwengine huwa wanaangalia wanaowahi na kusahau cheti cha kuzaliwa ni ishu ndogo sana ndo mana wakamstua ila mwisho wa siku inabaki kuwa amewahi pia wakati mwengine kwenye financial institution huwa wanapenda watu wanaowafaham kiundani maana risks ya wao kuibiwa ni kubwa so ushukuru mwenzio kapata labda atakuhelp naww otherwise keep on trying
 
Sijaelewa CRDB hapa wameingiaje? Maana kwenye maelezo yako umezungumzia NMB Mbalizi Road...Pengine ndio hapa alipokushinda jamaa yako... Alikuzidi ujanja kwenye interview...alama za kwenye vyeti hazisaidi chochote

sipendi unajibu bila kujua unajibu kitu gani, jamaa kasema hata interview hakuitwa na yeye alikuwa na pass nzuri kuliko huyo kilaza mwenzio alie pewa kazi kama hazisaidii kwa nn hawakumuita ktk interview ili waone hizo maksi kama hazisaidii. wezi tu hao wanaendekeza kujuana badala ya haki afu na nyie mnasapoti
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom