financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,367
nadhani usipotumiwa Email ya kukatwa ndyo una nafasi nzuri huenda ukapata, so kwa sasa nadhani wanatuma emails kwa ambao hawajafanikiwa ,sijajua ni vigezo gani wanatumia lkn nadhani kuna vitu wanaangalia mpk kumkata mtu. Ukikatwa move on hustles ziendeleeMbona waliopata nao wajitokeze basi.. maana kila kakosa.. yaan mtu kapiga BAF, BCOM lkn anakosa ss hapo vigezo ni nn wakati walihitaji hata wasiowazoefu...??


