Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
NMB Tanzania ebu mje mtoe maelezo kwa vìjana
NMB Tanzania ebu mje mtoe maelezo kwa vìjana
NMB watajifanya kama wanajikuna vile,hahah.Ngoja niwasaidie Kuwaita NMB Tanzania
Wadogo zangu mliokosa hata interview hapo NMB wkt vigezo vyao vilikua ni very very simple hata kwa fresh graduate,kazeni sana roho na siku mkifanikiwa kutoboa kwny maisha basi kumbukeni haya:
*Msifungue a/c yoyote ile NMB kuenzi machungu ya kuteswa kisaikolojia na kushukuriwa kinafiki kwny email.
*Muwambie ndg na jamaa zenu NMB ni bank ya watu wanaojuana inapokuja kwny suala la kazi.
Natoa homework rahisi tu,kama kuna mtu mtu humu jf/rafiki yake atayeitwa kwny interview hapo NMB alete mrejesho hapa JF.
Pale ni nani anamjua nani mkuu,full uswahili tu.Sina hamu na hii bank
Humjui mtu basi!
Pole yetu kwakweli NMB Tanzania Maisha yetu yanaendelea tuuSina hamu na hii bank
Humjui mtu basi!
Guys, Jana linikua naongea na rafiki yangu ambae ni Meneja wa Nmb tawi flan kubwa
Anasema waliamua kuajiri waliokua wanafanya intern na sales ( vibarua wa ndani) kwanza alafu ikionekana baado nafasi zipo wataendelea na external applicant.
Bt sijui kama ni kweli au Lah
Mezea maji ya moto MkuuNgumu kumesa
Hao vijana wa sales kila siku naona wanaacha hio kazi hapo NMB sijui kwanini?Possibly mazingira ya kazi ni magumu.Guys, Jana linikua naongea na rafiki yangu ambae ni Meneja wa Nmb tawi flan kubwa
Anasema waliamua kuajiri waliokua wanafanya intern na sales ( vibarua wa ndani) kwanza alafu ikionekana baado nafasi zipo wataendelea na external applicant.
Bt sijui kama ni kweli au Lah
Kipindi cha nyuma Sales walikua recruited through Branch manager's kwa mkataba wa muda mfupi sijajua kama ipo hivyo mpaka sasaHao vijana wa sales kila siku naona wanaacha hio kazi hapo NMB sijui kwanini?Possibly mazingira ya kazi ni magumu.
Pesa wanayolipa ni 200k kwa mwezi na afu kidogo wanakupatia chumba cha kulala over... mi nilikataaga kitaaambo na kuna madogo niliwapiga stop upuuzi huo afu huwa ni mwaka mmoja mkataba...Hao vijana wa sales kila siku naona wanaacha hio kazi hapo NMB sijui kwanini?Possibly mazingira ya kazi ni magumu.
Aisee hio pesa wanayolipwa ni noma sana.Pesa wanayolipa ni 200k kwa mwezi na afu kidogo wanakupatia chumba cha kulala over... mi nilikataaga kitaaambo na kuna madogo niliwapiga stop upuuzi huo afu huwa ni mwaka mmoja mkataba...
Kuna mdau amenijibu hapo juu khs pesa wanayolipwa,aisee ni balaa.Kipindi cha nyuma Sales walikua recruited through Branch manager's kwa mkataba wa muda mfupi sijajua kama ipo hivyo mpaka sasa
Ni taabu tupu mkuuKuna mdau amenijibu hapo juu khs pesa wanayolipwa,aisee ni balaa.
Guys, Jana linikua naongea na rafiki yangu ambae ni Meneja wa Nmb tawi flan kubwa
Anasema waliamua kuajiri waliokua wanafanya intern na sales ( vibarua wa ndani) kwanza alafu ikionekana baado nafasi zipo wataendelea na external applicant.
Bt sijui kama ni kweli au Lah