Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,506
- 12,006
Hii imemtokea rafik angu kapata offer nzuri kampuni ingine kutokana na utendaji wake.
Sehemu aliyopo kamaliza contract wanamlipa vizuri na anaishi vizuri tuu hapa mjini.
Kawapa demand zake Ili a renew contract ila wamesema hawata ongeza maslah Kwa kiwango anacho taka yeye.
Amefanya na hao jamaa miaka mi 5 na ndoto zake ni kufungua kampuni yake.....kama hio na sio kutanga Tanga.
Wasiwasi wake anaogopa kwenda kwenye other organizations aanzie ku scratch kujifunza na ku odopt organization calture ingine.
Swali lake aendelee hapo alipo akijipanga kufungua kampuni yake au aende kufanya kazi kwenye kampuni nyingine aliyo pewa ofa kubwa?
Mimi nimemwambia aendelee hapo hapo huku akijipanga kufungua kampuni yake.
Ushauri wako ni muhimu sana Kwa Huyu JAMAA angu?
Sehemu aliyopo kamaliza contract wanamlipa vizuri na anaishi vizuri tuu hapa mjini.
Kawapa demand zake Ili a renew contract ila wamesema hawata ongeza maslah Kwa kiwango anacho taka yeye.
Amefanya na hao jamaa miaka mi 5 na ndoto zake ni kufungua kampuni yake.....kama hio na sio kutanga Tanga.
Wasiwasi wake anaogopa kwenda kwenye other organizations aanzie ku scratch kujifunza na ku odopt organization calture ingine.
Swali lake aendelee hapo alipo akijipanga kufungua kampuni yake au aende kufanya kazi kwenye kampuni nyingine aliyo pewa ofa kubwa?
Mimi nimemwambia aendelee hapo hapo huku akijipanga kufungua kampuni yake.
Ushauri wako ni muhimu sana Kwa Huyu JAMAA angu?