"Njoo Ghetto"... Imezua balaa

"Njoo Ghetto"... Imezua balaa

mb
o
a
u
n
a
o
e
k
a
na
ma

n
a
m
p
e
n
d
a

j
a
m
a
a
 
Daaah kwahiyo urafiki wenu ndo umefikia tamati kwa staili hiyo? Nadhani bado mna nafasi tena pana tu ili kusuluhisha hili jambo. Nafasi yake kwako ni yeye pekee awezae kuiziba na hata yeye pia nafasi yako kwake ni wewe tu wa kuiziba. Zungumzeni wekeni mipaka ya mahusiano yenu muendelee kujenga mustakabali wenu.

hapo hakuna cha urafiki tena, yaani cute kamng'ota msela kama anaua nyoka, halafu warudie urafiki tena? Labda kama jamaa ni chizi! Kwani angempa hiyo papuchi jamaa angeing'oa? Mi nadhani hakuwa na upendo wa kweli kwa rafiki yake!!
 
Habari za weekend wana MMU.
mwenzenu Leo yamenikuta makubwa.

Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na akaomba niende kwake(Ghetto) ili tukajadiliane kuhusu business tunayotaka kuianzisha kama Partnership business.

Basi kwa vile niliona ni idea nzuri sana na tukifanikiwa tutatoka kimaisha, nikaona ni vyema niende tukajadili.
Basi Leo kufika pale Ghetto kukaa kidogo tu(hata soda aliyoninunulia sijamaliza kuinywa) heee!...jamaa akaanza kunishika kimahaba.

Business issues ikageuka kuwa Sex issues. Si akaanza oh unajua tangu siku nyingi nakupenda sana na nashukuru sana Leo umekuja kwangu... Nikamwambia wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi na hatujawahi kukubaliana chochote kuhusu mapenzi, sasa inakuwa Leo unajiamulia mwenyewe?.

Jamaa akawa hanielewi anazidi tu kunishika kimahaba mara akanibeba juujuu nlipokuwa nimekaa kwenye sofa akawa ananipeleka chumbani kwake.Ghetto lake ukitoka sebuleni unakuja jikoni then ndo chumbani, Asante Mungu pale jikoni nlifanikiwa kushika mwiko wa ugali nikampiga nao akaniachia,nikamrudishia tena kwenye paji la uso(safari hii hadi mwiko ulivunjika) .nikafanikiwa kukimbia nje nikasepa zangu.

Sasa now kaniwhatsapp kwamba ameshonwa nyuzi nne usoni na amenichukulia RB ya kunikamata na anajidai kisa ana ndugu yake ana cheo kikubwa tu mahakamani so anasema atanikomesha Na kama la basi lazima nipate kichapo toka kwake.

Hv jamani wanaMMU hapa nani anayestahili kumkamata mwenzake?.na akinikamata nikasema alikuwa ananibaka si nitakuwa sahihi?. Ushauri wako tafadhali,Nisolve vipi hii issue.ASaNTE.

ha ha ha ha ha pole kwa yaliyokukuta sisi wanaume tunaimani kuwa ng'ombe akishafika vingunguti ni lazima achinjwe na jamaa naona alikuwa anataka kutekeleza sheria ya ghetto..siku nyingine ghetto si sehemu ya kwenda kuongelea mambo ya bussiness.ukikubali mwaliko wa ghetto jua umekubali yote yatakayojili..ghetto ni sehemu ya vitendo full stop
 
Nawe fungua RB polisi ya jaribio la kutaka kubakwa, lakini hakikisha una ushahidi wa kutosha maana hii ni kesi ya jinai na itafikishwa kwa pilato...
 
Habari za weekend wana MMU.
mwenzenu Leo yamenikuta makubwa.

Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na akaomba niende kwake(Ghetto) ili tukajadiliane kuhusu business tunayotaka kuianzisha kama Partnership business.

Basi kwa vile niliona ni idea nzuri sana na tukifanikiwa tutatoka kimaisha, nikaona ni vyema niende tukajadili.
Basi Leo kufika pale Ghetto kukaa kidogo tu(hata soda aliyoninunulia sijamaliza kuinywa) heee!...jamaa akaanza kunishika kimahaba.

Business issues ikageuka kuwa Sex issues. Si akaanza oh unajua tangu siku nyingi nakupenda sana na nashukuru sana Leo umekuja kwangu... Nikamwambia wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi na hatujawahi kukubaliana chochote kuhusu mapenzi, sasa inakuwa Leo unajiamulia mwenyewe?.

Jamaa akawa hanielewi anazidi tu kunishika kimahaba mara akanibeba juujuu nlipokuwa nimekaa kwenye sofa akawa ananipeleka chumbani kwake.Ghetto lake ukitoka sebuleni unakuja jikoni then ndo chumbani, Asante Mungu pale jikoni nlifanikiwa kushika mwiko wa ugali nikampiga nao akaniachia,nikamrudishia tena kwenye paji la uso(safari hii hadi mwiko ulivunjika) .nikafanikiwa kukimbia nje nikasepa zangu.

Sasa now kaniwhatsapp kwamba ameshonwa nyuzi nne usoni na amenichukulia RB ya kunikamata na anajidai kisa ana ndugu yake ana cheo kikubwa tu mahakamani so anasema atanikomesha Na kama la basi lazima nipate kichapo toka kwake.

Hv jamani wanaMMU hapa nani anayestahili kumkamata mwenzake?.na akinikamata nikasema alikuwa ananibaka si nitakuwa sahihi?. Ushauri wako tafadhali,Nisolve vipi hii issue.ASaNTE.

Unampenda....
 
ww umechemka ungetoka pale ungeunga polis kufungua kesi ya kubakwa ingawa hujaliwa
 
Dada fumba macho vuta hisia zako zote jiulize ikiwa huyo jamaa ndo mchumba uliepewa na mungu, msamehe then nenda mukaongelee Hilo swala kwa umakini. ikiwa anania ya dhati na wewe mwambie mukapime vvu mukiwa salama muoane tu wanaume washida kuwapata dadayangu kama yeye kajileta changamkia tenda hiyo ndo mchumba wako huyo. acha bifu haina maana fikiria maisha yako

He! uko na akili mingi
 
Kwanini usikatae kwenda kwani business zinajadiliwa gheto? ungemwambia mtafute sehemu ya wazi mkutane mjadili hayo uliyataka mwenyewe,kwani hujui mnapokuwa na urafiki wa kwaida msikae peke yenu wawili sehemu iliyojificha kwani kuna nguvu kubwa ya ushawishi kati ya mwanaume na mwanamke,ndo ujifunze siku nyingine ila jamaa anakutishia tu hana lolote
 
Hamna cha rb wala r&b

Ila jua kuwa mtoto wa kike haendi ghetto la mwanaume hata siku moja

Bar zimeisha? Kwa nini msikutane bar mkapanga biashara zenu

Siku nyingine think, kama ni lazima saaana kwenda nyumbani/ghetto kwake unabeba mashosti zako wawili kwa usalama wako
 
Wanawake sjui huwa munawaza nini, yani mtu anakuambia njoo gheto na wew huyo unaota mbawa unaenda, sasa kama una mume, boyfriend au hata kaka umshirikishe ili uweze kukabiliana nae vizuri
 
Ningekuwa Mimi ni huyo JAMAA, kwa hakika ninge kuhenyesha kwa pilato, na uhakika HUCHOMOKI kabisa..

Angalia ushahid wa mazingira unavyo kubana:

> Unakubali kuwa nyie ni marafiki wa muda mrefu hata mkafikia hatua ya kupanga dili ya business, bila shaka hapa inaonesha tayari mlishakuwa na mazingira ya kuaminiana kati yenu, na hii inaonesha kuwa umeshawah kwenda kwake/gheto zaidi ya mara moja.. na hakuonesha dalili za kukubaka, vp leo iwe hadithi nyingine? hapo USHAPOTEA..!!

>Pia, meseji mlizo wasiliana znaonyesha wazi kuwa mlikuwa na miadi ya kibiashara tena nyumbani kwake, naww bila kufikiria ukajiinua hadi kwake.. HAPO JAMAA Ana Nafasi mbili za kukupoteza:
a). anaweza kusema ulifika kwake na ukamjeruhi ili ufanikiwe kufanya uhalifu, mfano kumuibia.. kumbuka mwenzako ana jeraha kama ushahid, wakat ww hukuacha hata kiatu kwake.

b). lkn pia, anaweza kujitetea kuwa ulimshawishi kwa ishara au kwa maneno, ndio maana akafikia uamuz wa kubeba hadi chumbani, maana mlikuwa wawili..

MAZINGIRA YANAKUBANA..
 
..
..Acha zako ww...HATA SEX NI BUSINESS.....how could u ever agree & intentionally went to a bachelor's ghetto...? hiyo ndio business yenyewe sasa... UKO SO
CHEAP MWANAMKE WW....maharage ya mbeya it seems.... unaitwa ghetto na bachelor na milonjo yako uko juu juu unaenda...na ungechezea KITOmb* bahati yako....ndio ukome umalaya wako...!!!
 
Hakuna mwenye ushahidi dhidi ya mwenzake. Wew huna ushahidi kuwa alitaka kukubaka na yeye hana hawezi kuthibitisha kuwa ulimpiga. Endeleeni kusubiriana.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Njoo ujifiche huku kwangu. mi sitakubaka, hata nikikubaka siingizi, nahata nikiingiza haiishiimo, nahata ikiishiamo sikatiki kiuno, nahata nikikatika simwagi, nahata nikimwaga simalizi, nahata nikimaliza nachomoa

kweli haya ni maporomoko haswaa kama jina lako
 
na yeye alitaka kuniua kwa ukimwi maana huwezi jua kama ni muathirika je?
nawachukia watu wa hivi wanazani kila mtu ni rahisi rahisi tu,kwanza hana adabu hata kama ingekua ni suala la kukuaproach tu asingefikia hatua ya kutaka kukupeleka chumbani,huyo ni mbakaji tu!
 
Back
Top Bottom