"Njoo Ghetto"... Imezua balaa

"Njoo Ghetto"... Imezua balaa

hizi akili za kuwaza ngono kila saa ni shida sana.kwenda gheto na umalaya kuna connection gani mkuu???.so tusifanye vitu vya maendeleo kisa tunahofia kwenda Ghetto.Jaribu kuchange your mindset.

sasa unalalamika nini kwetu, siutulie tu hiyo ndio business isue uliyofata. Kama ni business isue zisizokuwa ngono huwa sio getto huwa ni kwenye mikusanyiko ya watu kama kwenye migawaha, wengine huwa bar wanakaa sehemu tulivu wanadiscuss, au kwenye mahotel kuna sehemu special kwa ajili ya business talk.
sio getto, wewe ni nyama unajipeleka kwa fisi? huyo unadhani ni kaka yako wewe mpaka asikutamani? yaani uko getto paja umeachia asikutamani amekuwa mti?
 
Hana lolote huyo si RB wala kukupiga,anakutisha tu utetereke ukamuombe radhi amalize shughuli.
Angekuwa na RB ungeshakamatwa maana anajua pa kukupata na kama ni wa kukupiga angekupiga hapo ulipomtia makonzi ya mwiko!
Relax. Ila hili liwe funzo kwako,mwanaume si wa kumuamini hata kama ni nduguyo!!!!
hapo mwisho umenichekesha sana, kwa hiyo hata dada zetu hawatakiwi kutuamini kabisa??!!
 
sasa na ww si ungempa tu!!" mbona wengine unawagaia ...........
 
Hahahaaaa. ......wa namna hyo kumbe bdo wpo?!ayaaa.....dawa nzur sn.ukisahau kumpatia teke ka pumbu akojoe bila kutia.
 
unajua i trusted him coz huwa tunaheshimiana sana,tukipata dili la business tunafanya pamoja.bt all in all nimejifunza sintarudia tena kwenda Ghetto la mtu
Vizuri,always tunajifunza kutokana na makosa
 
Angemwacha amalize ili apate ushahidi.
Hana lolote huyo si RB wala kukupiga,anakutisha tu utetereke ukamuombe radhi amalize shughuli.
Angekuwa na RB ungeshakamatwa maana anajua pa kukupata na kama ni wa kukupiga angekupiga hapo ulipomtia makonzi ya mwiko!
Relax. Ila hili liwe funzo kwako,mwanaume si wa kumuamini hata kama ni nduguyo!!!!
 
Hahahaha,dah..nouma sana, its not funny ila imebidi nicheke kwanza, maana kama muvi vile,kweli silaha inaweza ikawa chochote kile hata ndala!, Pole sana dada ila hakuna kesi hapo.
 
Vp misoda, mizawadi, mijuice, mivocha, ya jamaa ulikuwa hutumii? Make ww waweza kuwa chanzo cha tatzo then ukaja hapa kulalama bureee. Jamaa akiuliza vp? Huenda unajibu: Bado nakufikiria/ Oooh mambo mazr hayataki haraka, nk. Kama humtaki mchane LIVE, wala gheto usingefika!!
 
Habari za weekend wana MMU.
mwenzenu Leo yamenikuta makubwa.

Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na akaomba niende kwake(Ghetto) ili tukajadiliane kuhusu business tunayotaka kuianzisha kama Partnership business.

Basi kwa vile niliona ni idea nzuri sana na tukifanikiwa tutatoka kimaisha, nikaona ni vyema niende tukajadili.
Basi Leo kufika pale Ghetto kukaa kidogo tu(hata soda aliyoninunulia sijamaliza kuinywa) heee!...jamaa akaanza kunishika kimahaba.

Business issues ikageuka kuwa Sex issues. Si akaanza oh unajua tangu siku nyingi nakupenda sana na nashukuru sana Leo umekuja kwangu... Nikamwambia wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi na hatujawahi kukubaliana chochote kuhusu mapenzi, sasa inakuwa Leo unajiamulia mwenyewe?.

Jamaa akawa hanielewi anazidi tu kunishika kimahaba mara akanibeba juujuu nlipokuwa nimekaa kwenye sofa akawa ananipeleka chumbani kwake.Ghetto lake ukitoka sebuleni unakuja jikoni then ndo chumbani, Asante Mungu pale jikoni nlifanikiwa kushika mwiko wa ugali nikampiga nao akaniachia,nikamrudishia tena kwenye paji la uso(safari hii hadi mwiko ulivunjika) .nikafanikiwa kukimbia nje nikasepa zangu.

Sasa now kaniwhatsapp kwamba ameshonwa nyuzi nne usoni na amenichukulia RB ya kunikamata na anajidai kisa ana ndugu yake ana cheo kikubwa tu mahakamani so anasema atanikomesha Na kama la basi lazima nipate kichapo toka kwake.

Hivi jamani wanaMMU hapa nani anayestahili kumkamata mwenzake?.na akinikamata nikasema alikuwa ananibaka si nitakuwa sahihi?. Ushauri wako tafadhali,Nisolve vipi hii issue.ASaNTE.
Tatizo na kwamba wanawake mna huruma sana. Mwenyewe utaenda mpa pole ya kuosha rungu.
 
exactly mkuu,maana kiukweli huwa tuko close,tunasaidiana na kushauriana pia,so nahisi jamaa alijua akibonyeza tu kitu kinatiki,kumbe mwenzake siko huko.
Hamnaga urafiki wa kutohusisha ngono kati ya mwanaume na mwanamke. Ukiona hivyo ujue ni shoga au anakulia taiming.
 
Back
Top Bottom