Ningekuwa Mimi ni huyo JAMAA, kwa hakika ninge kuhenyesha kwa pilato, na uhakika HUCHOMOKI kabisa..
Angalia ushahid wa mazingira unavyo kubana:
> Unakubali kuwa nyie ni marafiki wa muda mrefu hata mkafikia hatua ya kupanga dili ya business, bila shaka hapa inaonesha tayari mlishakuwa na mazingira ya kuaminiana kati yenu, na hii inaonesha kuwa umeshawah kwenda kwake/gheto zaidi ya mara moja.. na hakuonesha dalili za kukubaka, vp leo iwe hadithi nyingine? hapo USHAPOTEA..!!
>Pia, meseji mlizo wasiliana znaonyesha wazi kuwa mlikuwa na miadi ya kibiashara tena nyumbani kwake, naww bila kufikiria ukajiinua hadi kwake.. HAPO JAMAA Ana Nafasi mbili za kukupoteza:
a). anaweza kusema ulifika kwake na ukamjeruhi ili ufanikiwe kufanya uhalifu, mfano kumuibia.. kumbuka mwenzako ana jeraha kama ushahid, wakat ww hukuacha hata kiatu kwake.
b). lkn pia, anaweza kujitetea kuwa ulimshawishi kwa ishara au kwa maneno, ndio maana akafikia uamuz wa kubeba hadi chumbani, maana mlikuwa wawili..
MAZINGIRA YANAKUBANA..