"Njoo Ghetto"... Imezua balaa

"Njoo Ghetto"... Imezua balaa

Sasa wewe geto kwa mwanaume unadhani ukienda utakuwa salamaa hata kama ni Ishu za biasharaa
 
Sasa wewe geto kwa mwanaume unadhani ukienda utakuwa salamaa hata kama ni Ishu za biasharaa
Ni kweli. Katika vitu nimejiwekea sitofanya kamwe basi ni kwenda geto kwa mwanaume labda awe kaka yangu 'mzazi' ndio nitaingia kama inanilazimu kufanya hivyo
 
Nataka kiandika kitu cha maana ila JF sikuizi chai za rangi zimezidi mpaka naona nisijekua napoteza energy
 
Habari za weekend wana MMU.
mwenzenu Leo yamenikuta makubwa.

Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na akaomba niende kwake(Ghetto) ili tukajadiliane kuhusu business tunayotaka kuianzisha kama Partnership business.

Basi kwa vile niliona ni idea nzuri sana na tukifanikiwa tutatoka kimaisha, nikaona ni vyema niende tukajadili.
Basi Leo kufika pale Ghetto kukaa kidogo tu(hata soda aliyoninunulia sijamaliza kuinywa) heee!...jamaa akaanza kunishika kimahaba.

Business issues ikageuka kuwa Sex issues. Si akaanza oh unajua tangu siku nyingi nakupenda sana na nashukuru sana Leo umekuja kwangu... Nikamwambia wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi na hatujawahi kukubaliana chochote kuhusu mapenzi, sasa inakuwa Leo unajiamulia mwenyewe?.

Jamaa akawa hanielewi anazidi tu kunishika kimahaba mara akanibeba juujuu nlipokuwa nimekaa kwenye sofa akawa ananipeleka chumbani kwake.Ghetto lake ukitoka sebuleni unakuja jikoni then ndo chumbani, Asante Mungu pale jikoni nlifanikiwa kushika mwiko wa ugali nikampiga nao akaniachia,nikamrudishia tena kwenye paji la uso(safari hii hadi mwiko ulivunjika) .nikafanikiwa kukimbia nje nikasepa zangu.

Sasa now kaniwhatsapp kwamba ameshonwa nyuzi nne usoni na amenichukulia RB ya kunikamata na anajidai kisa ana ndugu yake ana cheo kikubwa tu mahakamani so anasema atanikomesha Na kama la basi lazima nipate kichapo toka kwake.

Hivi jamani wanaMMU hapa nani anayestahili kumkamata mwenzake?.na akinikamata nikasema alikuwa ananibaka si nitakuwa sahihi?. Ushauri wako tafadhali,Nisolve vipi hii issue.ASaNTE.
kaeni myamalize kikubwa la sivyo jamaa amekuwekea kisasi cha kudumu
 
Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke daima.. Lazima kuna mmoja atakua na ulterior motives..

Besides.. Mi nashndwa kuamin hii kitu ulioandika hapa kwasababu jamaa alikua amekubeba asa umewezaje kuuchukua huo mwiko??

No matter what ukijenga picha kichwan italeta utata sana.. Itc too convincing for a fake story.
 
Ni kweli. Katika vitu nimejiwekea sitofanya kamwe basi ni kwenda geto kwa mwanaume labda awe kaka yangu 'mzazi' ndio nitaingia kama inanilazimu kufanya hivyo
Ukikubali kwenda means umekubali kuvua chupi
 
oh! Kumbe kuna jukwaa la sheria.ngoja niwacheki.asante
Hakuna haja ya kwenda Jukwaa la Sheria, wanasheria wengine tupo humu MMU. Kwanza nikupe pole kwa yaliyokusibu, ndiyo ukubwa huo.

Nikutoe hofu kwamba unao utetezi wa kutosha sana iwapo kweli ataamua kukupeleka Mahakamani. Kimsingi, kwa scenario uliyotuhadithia, kosa analoweza kukushtaki nalo ni "assault" au "grievous bodily harm", lakini kukushtaki ni jambo moja, jambo la pili ni wewe kutoa utetezi wako.

Katika utetezi wako, utasema ulimjeruhi kwasababu ya "self defense", sheria inaruhusu kabisa matumizi ya nguvu (reasonable force) ambayo yanaweza kupelekea majeraha lakini tu usitumia nguvu kubwa (excessive force) kuliko inayostahili. Kumjeruhi kwa mwiko ni "reasonable force" and not "excessive force", na utasema ulikuwa unajitetea kwasabau alijaribu kukubaka (attempted rape).

Pole tena. Ila kwa uzoefu wangu, huyo hajachukua RB wala nini, anakutisha tu ili unyong'onyee akakukaze, usiseme hukuonywa.

Pole sana.
 
Habari za weekend wana MMU.
mwenzenu Leo yamenikuta makubwa.

Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na akaomba niende kwake(Ghetto) ili tukajadiliane kuhusu business tunayotaka kuianzisha kama Partnership business.

Basi kwa vile niliona ni idea nzuri sana na tukifanikiwa tutatoka kimaisha, nikaona ni vyema niende tukajadili.
Basi Leo kufika pale Ghetto kukaa kidogo tu(hata soda aliyoninunulia sijamaliza kuinywa) heee!...jamaa akaanza kunishika kimahaba.

Business issues ikageuka kuwa Sex issues. Si akaanza oh unajua tangu siku nyingi nakupenda sana na nashukuru sana Leo umekuja kwangu... Nikamwambia wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi na hatujawahi kukubaliana chochote kuhusu mapenzi, sasa inakuwa Leo unajiamulia mwenyewe?.

Jamaa akawa hanielewi anazidi tu kunishika kimahaba mara akanibeba juujuu nlipokuwa nimekaa kwenye sofa akawa ananipeleka chumbani kwake.Ghetto lake ukitoka sebuleni unakuja jikoni then ndo chumbani, Asante Mungu pale jikoni nlifanikiwa kushika mwiko wa ugali nikampiga nao akaniachia,nikamrudishia tena kwenye paji la uso(safari hii hadi mwiko ulivunjika) .nikafanikiwa kukimbia nje nikasepa zangu.

Sasa now kaniwhatsapp kwamba ameshonwa nyuzi nne usoni na amenichukulia RB ya kunikamata na anajidai kisa ana ndugu yake ana cheo kikubwa tu mahakamani so anasema atanikomesha Na kama la basi lazima nipate kichapo toka kwake.

Hivi jamani wanaMMU hapa nani anayestahili kumkamata mwenzake?.na akinikamata nikasema alikuwa ananibaka si nitakuwa sahihi?. Ushauri wako tafadhali,Nisolve vipi hii issue.ASaNTE.
tupe mrejesho
 
Habari za weekend wana MMU.
mwenzenu Leo yamenikuta makubwa.

Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na akaomba niende kwake(Ghetto) ili tukajadiliane kuhusu business tunayotaka kuianzisha kama Partnership business.

Basi kwa vile niliona ni idea nzuri sana na tukifanikiwa tutatoka kimaisha, nikaona ni vyema niende tukajadili.
Basi Leo kufika pale Ghetto kukaa kidogo tu(hata soda aliyoninunulia sijamaliza kuinywa) heee!...jamaa akaanza kunishika kimahaba.

Business issues ikageuka kuwa Sex issues. Si akaanza oh unajua tangu siku nyingi nakupenda sana na nashukuru sana Leo umekuja kwangu... Nikamwambia wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi na hatujawahi kukubaliana chochote kuhusu mapenzi, sasa inakuwa Leo unajiamulia mwenyewe?.

Jamaa akawa hanielewi anazidi tu kunishika kimahaba mara akanibeba juujuu nlipokuwa nimekaa kwenye sofa akawa ananipeleka chumbani kwake.Ghetto lake ukitoka sebuleni unakuja jikoni then ndo chumbani, Asante Mungu pale jikoni nlifanikiwa kushika mwiko wa ugali nikampiga nao akaniachia,nikamrudishia tena kwenye paji la uso(safari hii hadi mwiko ulivunjika) .nikafanikiwa kukimbia nje nikasepa zangu.

Sasa now kaniwhatsapp kwamba ameshonwa nyuzi nne usoni na amenichukulia RB ya kunikamata na anajidai kisa ana ndugu yake ana cheo kikubwa tu mahakamani so anasema atanikomesha Na kama la basi lazima nipate kichapo toka kwake.

Hivi jamani wanaMMU hapa nani anayestahili kumkamata mwenzake?.na akinikamata nikasema alikuwa ananibaka si nitakuwa sahihi?. Ushauri wako tafadhali,Nisolve vipi hii issue.ASaNTE.
Afrika urafiki wa mwanaume na mwanamke ni kama kufuga kuku tu, ipo siku kuku atachinjwa aliwe nyama. Jamani!
 
Siku nyingine uwe unafikiria hata kidogo, yani mmekosa maeneo ya wazi mpaka mwende kuzungumzia biashara "gheto", tena jinsia 2 tofauti. Labda tu na wewe ulikua unataka mpomombo tuu su bure, em rekebisha story apo 😁😁
 
Naona ulitaka kula tunda kimasihara. Asikutishe njoo Ghetto nikupe ushauri wa kudili na watu kama hao.
 
Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke daima.. Lazima kuna mmoja atakua na ulterior motives..

Besides.. Mi nashndwa kuamin hii kitu ulioandika hapa kwasababu jamaa alikua amekubeba asa umewezaje kuuchukua huo mwiko??

No matter what ukijenga picha kichwan italeta utata sana.. Itc too convincing for a fake story.
Wewe jiko lako likoje? Umeshaona majiko ya kisasa namna yalivyo? Acha kujiaibisha aisee.
 
Habari za weekend wana MMU.
mwenzenu Leo yamenikuta makubwa.

Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na akaomba niende kwake(Ghetto) ili tukajadiliane kuhusu business tunayotaka kuianzisha kama Partnership business.

Basi kwa vile niliona ni idea nzuri sana na tukifanikiwa tutatoka kimaisha, nikaona ni vyema niende tukajadili.
Basi Leo kufika pale Ghetto kukaa kidogo tu(hata soda aliyoninunulia sijamaliza kuinywa) heee!...jamaa akaanza kunishika kimahaba.

Business issues ikageuka kuwa Sex issues. Si akaanza oh unajua tangu siku nyingi nakupenda sana na nashukuru sana Leo umekuja kwangu... Nikamwambia wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi na hatujawahi kukubaliana chochote kuhusu mapenzi, sasa inakuwa Leo unajiamulia mwenyewe?.

Jamaa akawa hanielewi anazidi tu kunishika kimahaba mara akanibeba juujuu nlipokuwa nimekaa kwenye sofa akawa ananipeleka chumbani kwake.Ghetto lake ukitoka sebuleni unakuja jikoni then ndo chumbani, Asante Mungu pale jikoni nlifanikiwa kushika mwiko wa ugali nikampiga nao akaniachia,nikamrudishia tena kwenye paji la uso(safari hii hadi mwiko ulivunjika) .nikafanikiwa kukimbia nje nikasepa zangu.

Sasa now kaniwhatsapp kwamba ameshonwa nyuzi nne usoni na amenichukulia RB ya kunikamata na anajidai kisa ana ndugu yake ana cheo kikubwa tu mahakamani so anasema atanikomesha Na kama la basi lazima nipate kichapo toka kwake.

Hivi jamani wanaMMU hapa nani anayestahili kumkamata mwenzake?.na akinikamata nikasema alikuwa ananibaka si nitakuwa sahihi?. Ushauri wako tafadhali,Nisolve vipi hii issue.ASaNTE.
Wewe Ni mtu mzima Ila una akili za kitoto.

Ungeua ungejutia ujinga wako yaani sex tu ingekupeleka jela.

Sexi sio dili siku hizi
 
Back
Top Bottom