Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
mkuu wa wilaya ya NjombeBoss. Tunaomba umtaje. Hatutamsema. Tumjue tu.
Hahaha........!Sasa kwenye huo utalii watampata nani kama hiki kibaridi cha kipumbavu cha hapa dar unakuta watu wanalia lia ovyo sasa ndio wataenda huko njombe, hao watafute fursa nyingine za utalii waachane na hilo wazo la kipuuzi
Usiseme Baridi kali na Siberia waseme nini sasa?
Wakija Inuits wa Greenland wanatembea na Vest au Vifua wazi
Nilikua huko tarehe 21-27 June Kuna siku Kama 3 Mzee chuma ilikua inapuliza makamaai tu Kama kondooJana usiku njombe 9°
Alafu Iceland 11°
Nipo bagamoyo 23° lakini shughuli naiona
Pole sana kaka.Sijawahi kufika njombe ila Kuna kipindi nilienda arusha, sasa usiku ukafika nikalala palepale stendi maana mfuko ulikuwa umekaa kushoto.
Nilijifariji kwa kudhani hali ya hewa ni kama nitokapo.
Sikujua lolote.
Aise siku ile nilipigwa na baridi kidogo nife.
Ilibidi tu niwe mpole na niombe nguo ya kuvaa kwa juu maana kidogo nifie pale pale stendi.
siku nyingine ikfika usiku unashika zaidi ya hapo Ila sehemu zote Makete ndo balaa inafikaga hadi 4° au pungufu zaidi.Hata njombe wako vizuri kwa kweli
9°sio mchezo
Hata hapa Mbalamaziwa kwa kweli hali ni teteWakazi wa mkoa wa Njombe wamesema hawajawahi kuishuhudia baridi kali kama hii ya mwaka huu
Wakazi wa mkoa huo wamepunguza muda wa kufanya kazi wakihofia kupatwa na Maradhi
Naye mkuu wa mkoa huo mh Kindamba amesema Baridi hiyo ni fursa kea mkoa huo kutangaza Utalii wa ndani na kuwaalika watu kufanya Utalii wa Baridi ili kuongeza mapato ya Serikali
Source ITV habari
Summer time Winter yao huwa ni BalaaIceland 11°