Nadhani watu wanazungumzia kupeleka wanajeshi kule kwa urahisi sana. Hupeleki wanajeshi kwenye mpaka wa nchi nyingine bila kuwa tayari kupigana vita. Kuna vitendo ambavyo kisheria vikifanyika vinachukuliwa kuwa ni "act of war". Tanzania haipaswi kupeleka wanajeshi wake karibu na mpaka na Malawi bila kuwa tayari kwenda vitani. Swali, Watanzania mko tayari kwa vita siyo kwenda kujionesha tu. Nani kawaambia ati mkipeleka wanajeshi basi wamalawi watanywea? Na wenyewe si wana jeshi?
Unafikiri kuwa na wingi wa jeshi na silaha ndio kushinda vita? Lakini kubwa zaidi ni kuwa viongozi wetu tayari hawana ile cloud ya kuwa viongozi wa wakati wa vita. Kama kwenye amani wametutawala hivi wakati wa vita itakuwaje? Njia pekee ya kuleta hiyo heshima ni sisi kutangaza tunaanza utafiti wetu wa mafuta kwenye nusu yetu tukiheshimu mipaka yetu na hatutagusa nusu ya Malawi. Malawi watakuwa wametupiwa mpira!
Kama wao wanaamini ziwa zima ni lao basi wao ndio wafanye hatua ya kwanza vita.... hapo ndio JWTZ linapoenda kulinda mpaka wetu!
Unacho sema ni kweli mkuu, yaani tunashindwa na Uganda ilivyo deal na Kenya kuhusu kisiwa ndani ya ziwa Victoria; Uganda aikulaza damu kwa kusubuli mambo ya majadiliano i.e KUBEMBELEZANA - mambo ya diplomacy yalichukua a back seat. Kinacho nishangaza mimi ni kuona nchi yetu anasuhasua katika suala hili la hatari, hivi kuna haja gani ya malawi kununua patrol boats zaidi ya kumi na nne, a very powerful RADAR - nasikia na airforce na washauri wa Kiyaudi pamoja na mazabazabina (Wingereza) sina shaka Waigereza hawa hawa ndio wanawapa kichwa Wamalawi, wala siwezi kushangaa kama awajapewa vitalu vya kuchimba visima vya mafuta na GAS katika ziwa hilo.
Kwa mawazo yangu Serikali yetu inapaswa kuwafahamisha Wamalawi kwamba wakiendelea na jeuri yao basi TANZANIA hiko tayali kwa lolote tunasema hilo wakati tuna mobilise drilling rigs kwenda ziwa Nyasa tuone watafanya NINI.
Mkuu haya ya wabunge kusema eti wanajeshi wetu watumike kulinda nguzo za umeme wenye msongo mkubwa wakisingizia kwamba wafisadi wamejipanga kuzifanyia hujuma pamoja na mabwawa ya hydro Electric - tahadhali hii naona ni ya uzushi tu wanajaribu kutisha Serikali ya JK ili aogope kuwachukulia hatua wahujumu uchumi, JK awezi kutishwa na NYAU bwana.
Ndugu yangu hapo kwenye red:,chondechode kwa viongozi hawa itakula kwetu, kwa taarifa yako - hata wao (viongozi wetu)wanafahamu kabisa kuwa mpaka wetu na Malawi haupo katikati ya maji ila upo ufukweni, yaani ukigusa maji tu basi ujue umegusa Malawi, kwa maana hiyo hao wanyasa na wamatengo wanapofua au kuoga achilia mbali kuvua samaki katika ziwa Nyasa wajue kabisa wanatakiwa kuomba ruhusa upande wa pili (Malawi) ili wapewe kibali. Hivyo hizo kelele wanazopiga mjengoni ni kujikakamua tu ili hali wakijua kuwa muda wowote Malawi wanaweza leta invoice ya sisi kutumia maji yao bila kibali, kama unabisha muulize hata kapteni Komba mbuge wao (mbinga Magharibi) anajua fully story, kwa issue hii ya Ziwa Nyasa hata tukiwa wazalendo kiasi gani hatuiwezi labda tuombe Nyerere afufuke.
Mkuu hivi Nyerere alihusika kweli katika uhamishaji wa mipaka? Mbona nilipo kuwa nasoma shule ya msingi tulikuwa tunachora Ramani ya Tanzania kwa kuweka mipaka katikati ya ziwa NYASA. Hata ukiangalia ramani ya Google Map utaona mpaka wa Tanzania na Malawi umewekewa a dotted line (zinazo fanana na mipaka ya kutenganisha mikoa nchini Tanzania) lakini wa Msumbiji na Malawi ambao huko katikati ya Ziwa umechorwa kwa solid line! Hii ina maana gani?
Mimi suala hili alijanigia akili! Swali - nani kabadirisha mipaka hii na lini? Suala la mipaka kati ya Hondurus na Venezuela lilisuruhisha kwa njia gani?
Nadhani watu wanazungumzia kupeleka wanajeshi kule kwa urahisi sana. Hupeleki wanajeshi kwenye mpaka wa nchi nyingine bila kuwa tayari kupigana vita. Kuna vitendo ambavyo kisheria vikifanyika vinachukuliwa kuwa ni "act of war". Tanzania haipaswi kupeleka wanajeshi wake karibu na mpaka na Malawi bila kuwa tayari kwenda vitani. Swali, Watanzania mko tayari kwa vita siyo kwenda kujionesha tu. Nani kawaambia ati mkipeleka wanajeshi basi wamalawi watanywea? Na wenyewe si wana jeshi?
Unafikiri kuwa na wingi wa jeshi na silaha ndio kushinda vita? Lakini kubwa zaidi ni kuwa viongozi wetu tayari hawana ile cloud ya kuwa viongozi wa wakati wa vita. Kama kwenye amani wametutawala hivi wakati wa vita itakuwaje? Njia pekee ya kuleta hiyo heshima ni sisi kutangaza tunaanza utafiti wetu wa mafuta kwenye nusu yetu tukiheshimu mipaka yetu na hatutagusa nusu ya Malawi. Malawi watakuwa wametupiwa mpira!
Kama wao wanaamini ziwa zima ni lao basi wao ndio wafanye hatua ya kwanza vita.... hapo ndio JWTZ linapoenda kulinda mpaka wetu!
Kuna time nilifanyakazi huko kusini ziwani Nyasa, kuna mzee mmoja very famous huko (ni former senior government staff),aliniuma sikio kuwa "maji ni ya Malawi" ila tunatake advantage tu kwa Banda alikuwa muoga wakati huo 1960s-70s, maana kumbuka wakati huo tulikuwa tunapambana na ukombozi kusini mwa Afrika na nchi zote za kusini mwa Afrika zilikuwa kwenye allied ya "nchi za mstari wa mbeli" kwa ajili za kuzipa tafu "msumbiji - wareno/RENAMO, Zimbabwe - Ian Smith, S/Africa&Namibia - makaburu, Angola - Savimbi" ili ziwe huru na tulivu, kwa maana hio Zambia, Botswana, Malawi na Tanzania ndio zilikuwa huru na tulivu - ila Malawi kwa upande wake haikuwa mstari wa mbele na kinyume chake chini ya Kamuzu Banda ikawa na uhusiano wa kikaribu sana na Wareno kwa upande wa msumbiji na kwa Makaburu, kwa hio kwa Nyerere banda na Malawi yake ilikuwa ni obstacle kwa ajili ya ukombozi wa kusini na pia Banda alidai sehemu ya Kyela ni sehemu ya Malawi, in that case Nyerere akaamua kupiga mkwara na kupanga kumtoa noma Banda na hapo Nyerere akaamua na kudclere that mpaka ni katikati ya ziwa (according to Berlin conference na international Law),ila kulingana na soo za WWI wingereza kuchukua Tz ziwa likarudi Malawi.
kwa source hizo naweza kukubaliana na yule mzee kuwa sie (Tz) ni wavamizi wa Malawi, na kwa jinsi viongozi wetu wanavyopenda sifa wasingekaa kimya na kuongea bungeni tu wakati meli za Malawi zinafanya business sehemu yetu, mbona huko ziwa Tanganyika kila wakati boat za DRC zinalipuliwa kila kukicha? au kama una jamaa yako yupo JWTZ muulize ni ziwa lipi kuna boat zetu za doria? atakuambia ni ziwa Tanganyika, Victoria bahari ya Hindi na hakuna kwingine... Membe ni vuvuzela tu, hapo wanaomba Nyerere afufuke ili awape ushauri ni nini cha kufanya, hivi kama eneo ni lako kweli unahitaji mazungumzo na mtu mwingine juu ya namna ya kutumia eneo lako?
Ndugu yangu hapo kwenye red:,chondechode kwa viongozi hawa itakula kwetu, kwa taarifa yako - hata wao (viongozi wetu)wanafahamu kabisa kuwa mpaka wetu na Malawi haupo katikati ya maji ila upo ufukweni, yaani ukigusa maji tu basi ujue umegusa Malawi, kwa maana hiyo hao wanyasa na wamatengo wanapofua au kuoga achilia mbali kuvua samaki katika ziwa Nyasa wajue kabisa wanatakiwa kuomba ruhusa upande wa pili (Malawi) ili wapewe kibali. Hivyo hizo kelele wanazopiga mjengoni ni kujikakamua tu ili hali wakijua kuwa muda wowote Malawi wanaweza leta invoice ya sisi kutumia maji yao bila kibali, kama unabisha muulize hata kapteni Komba mbuge wao (mbinga Magharibi) anajua fully story, kwa issue hii ya Ziwa Nyasa hata tukiwa wazalendo kiasi gani hatuiwezi labda tuombe Nyerere afufuke.
mkuu kwenye situation "hostile" kama hiyo,huwezi kuepeleka hao watafiti bila kuwahakikishia ulinzi,wao tayari wanawalinda wa "upande wao" ambao wako upande all the way hadi upande wa "tanganyika/tanzania" kama tayari wanafanya utafiti uapnde wa tanzania,na sisi tukafanye utafiti upande wao?
Mkuu nakushukuru sana kwa ufafanuzi wa kina; ndio nina ndugu yangu ni Kanali jeshini - Mambo yenyewe kam ndio haya naona Wamalawi wamekwisha tuzidi KETE na actually wanafanya uhungwana kutuachia tufanye tutakavyo kwenye ziwa
lao save uchimbaji wa MAFUTA.
tuko tayari kwa uchokozi wowote
Kama Tanzania inaamini nusu ya Ziwa Nyasa ni mali yake kwanini wanasubiri kuwabembeleza Wamalawi kuhusu suala la kusitisha utafiti wa mafuta ili kupisha majadiliano? HIvi tumekuwa wasahaulifu hivi kiasi kwamba hatujui suala hili nusura litulete katika vita na Kamuzu Banda?
Jambo rahisi ni Serikali kuanza utafiti wa mafuta na gesi kwenye "upande wetu" na kutoa kibali kwa makampuni ya kimataifa kufanya hivyo. Wamalawi watafanya nini?
Today's occasion of signing three PSAs is an important milestone towards exploration of hydrocarbons in Tanzania and East Africa at large. The Petrobras PSA is for hydrocarbon exploration in Block-8 deep offshore Tanzania, the Heritage PSA is for exploration in the Kyela Basin (northern and onshore portion of Lake Nyasa) and the Motherland PSA is for exploration in the Malagarasi Basin North West part of the country.
Source:
SPEECH BY WILLIAM NGELEJA, MINISTER FOR ENERGY AND MINERALS DURING THE SIGNING CEREMONY OF PETROBRAS, HERITAGE AND MOTHERLAND PRODUCTION SHARING AGREEMENTS ON 24TH JANUARY, 2012 | Tanzania news - TheHabari - Blog Tanzania
inawezekana kweli kabisa wanatufanyia uungwana ila kama tutaingiza timu...basi wale jamaa ninahisi ni wazalendo sana, tena wanawashangaa viongozi wao kwanini hawachukui hatua dhidi yetu - tena hii issue wao wanaichukulia kitaifa zaidi, yaani sisi kama tunataka kuwin hii issue labda tuunde kitu kama "mamlaka" ambayo itasimamia maendeleo ya eneo hili kwa faida ya nchi zote mbili na to take advantage ya kuhama kwa mpaka katika mto Songwe, kuna jamaa mmoja ambaye ni mwanajeshi wa(JWTZ)katika thesis yake hata yeye ni kama anakubaliana kuwa hii issue ni kama tunawatapeli ingawa kaiandika kidiplomasia sana, hebu soma comments za wamalawi hapa chini uone wanaichukuliaje hii issue.
Nadhani watu wanazungumzia kupeleka wanajeshi kule kwa urahisi sana. Hupeleki wanajeshi kwenye mpaka wa nchi nyingine bila kuwa tayari kupigana vita. Kuna vitendo ambavyo kisheria vikifanyika vinachukuliwa kuwa ni "act of war". Tanzania haipaswi kupeleka wanajeshi wake karibu na mpaka na Malawi bila kuwa tayari kwenda vitani. Swali, Watanzania mko tayari kwa vita siyo kwenda kujionesha tu. Nani kawaambia ati mkipeleka wanajeshi basi wamalawi watanywea? Na wenyewe si wana jeshi?
Unafikiri kuwa na wingi wa jeshi na silaha ndio kushinda vita? Lakini kubwa zaidi ni kuwa viongozi wetu tayari hawana ile cloud ya kuwa viongozi wa wakati wa vita. Kama kwenye amani wametutawala hivi wakati wa vita itakuwaje? Njia pekee ya kuleta hiyo heshima ni sisi kutangaza tunaanza utafiti wetu wa mafuta kwenye nusu yetu tukiheshimu mipaka yetu na hatutagusa nusu ya Malawi. Malawi watakuwa wametupiwa mpira!
Kama wao wanaamini ziwa zima ni lao basi wao ndio wafanye hatua ya kwanza vita.... hapo ndio JWTZ linapoenda kulinda mpaka wetu!
Hapa umechanganya vitu viwili, haki ya nchi na uzembe wa nchi.Mwanakijiji,
Kwani kama "tukiwaachia" ziwa lote kuna tabu gani? Manake kama ziwa ni maliasili, ni maliasili kiasi gani tumeziachia kwa "wawekezaji" na maisha yanaendelea?