Wazungu wamewachoka kazi yao ni kuzaa tu,na kula pesa za socialwasyria na afghanistan wamejanaza Europe yote, wewe unategemea ukashindane na hao kutafuta deiwaka?
Wazungu wamewachoka kazi yao ni kuzaa tu,na kula pesa za socialwasyria na afghanistan wamejanaza Europe yote, wewe unategemea ukashindane na hao kutafuta deiwaka?
Vip ishu Canada Zimekaaje Kazi Zipi Ukifika Rahisi KupataNdio njia rahisi, hata Marekani wengi wanaingia kwa visiting viza wanabadili status wakiwa Marekani na wengine wanatumia permit fake za Wanigeria, jichunge usifanye kosa tu la kukupeleka Polisi hapo permit fake yako ni lazima ibume kwenye system.
Nchi kama Canada inahitaji zaidi watu, lakini wanacontrol utowaji wa viza zao ila ukitusuwa kuingia hawana shida imetoka hiyo.
Na kingine ukiwa na kibali cha kuishi Canada maana yake Marekani unaingia kwa border entry tu kama wewe unavyokwenda Nairobi Kenya tu, Toronto to New York ni Masaa manne tu kwa gari.
Ili kuzuia Canada kuwa uchochoro wa kuingilia Marekani nao wamedhibiti utowaji wa viza yao ingawa kiukweli Canada inahitaji sana watu lakini inailinda Marekani pia kutumia kama transit ya kuingilia Marekani.
Canada ilishachukuwa wakimbizi wa Burundi kwenye makambi huko Ngara na kuleta ndege ikawapeleka Canada na kuwapa Uraia.
Vip ishu Canada Zimekaaje Kazi Zipi Ukifika Rahisi KupataNdio njia rahisi, hata Marekani wengi wanaingia kwa visiting viza wanabadili status wakiwa Marekani na wengine wanatumia permit fake za Wanigeria, jichunge usifanye kosa tu la kukupeleka Polisi hapo permit fake yako ni lazima ibume kwenye system.
Nchi kama Canada inahitaji zaidi watu, lakini wanacontrol utowaji wa viza zao ila ukitusuwa kuingia hawana shida imetoka hiyo.
Na kingine ukiwa na kibali cha kuishi Canada maana yake Marekani unaingia kwa border entry tu kama wewe unavyokwenda Nairobi Kenya tu, Toronto to New York ni Masaa manne tu kwa gari.
Ili kuzuia Canada kuwa uchochoro wa kuingilia Marekani nao wamedhibiti utowaji wa viza yao ingawa kiukweli Canada inahitaji sana watu lakini inailinda Marekani pia kutumia kama transit ya kuingilia Marekani.
Canada ilishachukuwa wakimbizi wa Burundi kwenye makambi huko Ngara na kuleta ndege ikawapeleka Canada na kuwapa Uraia.
Tatizo lugha na watanzania wanajua kwenda nje ni gharama kubwa na wao kula yao ni shidaSijui tunakwama wapi aisee,jamaa atakua na darasa tarehe 1 okt ubungo plaza nadhani kufundisha namna ya kuomba green card,muitiko ni sifuri bado,naona wakenya wamemuita kabisa aende kenya kuwafundisha,jana jamaa nimeona amepost youtube yupo kenya aisee!
Wazungu wenyewe wanakuja kuwekeza Zanzibar kwa kujenga vi Restaurant ambavyo wabongo wanaweza kuwekeza , wanasema kwao hakuna fursa biashara wanayoiwekeza hapa kwao haiwezekani , maana kwao huwezi kufungua Min super market.Kwa watu tulioishi ulaya Kama Mimi hunisumbuwi na ulaya.
Wengi hukimbilia ulaya sababu ya ulimbukeni mtupu.
Hivi mtu una kazi au shughuli zako za maana utakimbilia kupata $ 300 kwa mwezi?
Kuna kiongozi alisema vijana bora ufungue genge la milioni 3 bongo utatoboa kuliko wenda ulaya kutafuta maisha.Acheni masikhara basi kuwa na million sita kwa kijana wa bongo kisa kusafiri ulaya ni ngumu maana hata ukishika hiyo pesa kwa hapa bongo kuna fursa nyingi na nzuri kuliko huko ulaya..
Wabongo tunatia aibu sana hapa Afrika Mashariki.Wakati raia wengine wa Afrika Mashariki wakichangamkia fursa za kwenda ulaya kutengeneza maisha yao, wabongo wao wako busy kutafuta taarifa za dimpozi na baba yake, sijui haji manara kuongeza mke wa pili, dudubaya kujiunga wasafi nk.
😂😂😂😂 Aisee hii comment imenifurahisha san mkuu.Wazungu wamewachoka kazi yao ni kuzaa tu,na kula pesa za social
Aliewaroga wabongo ana dhambi sana aisee.Wazungu wenyewe wanakuja kuwekeza Zanzibar kwa kujenga vi Restaurant ambavyo wabongo wanaweza kuwekeza , wanasema kwao hakuna fursa biashara wanayoiwekeza hapa kwao haiwezekani , maana kwao huwezi kufungua Min super market.
Inahuzunisha sana, nchi imejaza vijana wenye maneno mengi, lakini akili ndogo.Wabongo tunatia aibu sana hapa Afrika Mashariki.
Imagine watu tunashindwa hata na warundi kuchangamkia fursa.
Fursa zipi hizo zitaje online marketing au ebu zitaje maana mnasema fursa zipi zipo tukifungua vibanda vya chips hamji kula tukiamzisha biashara ya m pesa nk mnakuja tukopa mnazima na sm, tukienda shambani kulima mnapandisha bei za pembe jeo, mala tozo
Ebu zitaje hizo fursa
Sasa kazi ya u dereva Tax au vyoo utafanya kwa lugha ya kogogo au?Na issue siyo legal permit tu, kwa nchi kama Sweden ni lazima ujuwe lugha yao otherwise utaishia kuwa Tax driver au kusafisha vyoo tu, hata uwe msomi kiasi gani.
fursa hiyo tuichangamkie tumpe na sapoti kijana mwenzetu aliyeamua kujitolea kutuelimisha
Hivi kuna mtu anaezaliwa na kutembea hapo hapo?Swali langu .
Je ukishafika tu fursa unaziona au ndo kuteseka kwanza.
Sie wabongo ni shida sana mkuu,kwenye video wakenya wanamuuliza jamaa ataenda lini kwao!sie tuko busy na birthday ya wema sepenga badala kudeal na vitu vya maana!Hii video wabongo wengi wataipita kama hawaioni, lkn ungeweka video inayozungumzia matumizi ya vumbi la kongo kama alivyosema mh raisi jana basi saa hizi huko youtube kungekuwa hapatoshi kwa Like na maswali ya wabongo wanaotaka kulitumia.
Wabongo tuko nyuma kwa mambo mengi yenye faida na manufaa kwa mwanadamu. Na tuko mbele kweny mambo yasiokuwa na faida wala manufaa kwa mwanadam.Sie wabongo ni shida sana mkuu,kwenye video wakenya wanamuulizq jamaa ataenda lini kwao!sie tuko busy na birthday ya wema sepenga badala kudeal na vitu vya maana!
Kuna siku nitavamia airport na begi langu kama wale wasabato, kimasihara masihara nitaenda ulaya