physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 342
- 458
Ikiwa mtu kapata passport ya nchi ,kwa mfano Amerika au Uingereza,kwa kujifanya ni mkimbizi,amekimbia vita anakotoka,akaenda moja kati ya nchi zunazopokea wakimbizi,na akasema amezaliwa katika nchi hiyo yenye vita,akapewa hadhi ya ukimbizi,wakati hakuzaliwa katikq hiyo nchi,wala hata kuwahi kuishi katika hiyo nchi,na mpaka akapewa passport ya nchi,ya America au U.K.,na sehemu ya kuandika alikozaliwa,ni nchi hiyo yenye vita,wakati hakuzaliwa katika nchi hiyo,amezaliwa nchi nyingine.Na zipo documents,za kuonyesha kazaliwa kwingine,je ni kosa kisheria?
Fraud kama hizi,ndio zinazalisha magaidi.Mara nyingi magaidi wanatumia mwanya huu.Kwa nini serekali nyingi za dunia,hazisambazi maelezo nq picha za watu waliopata passport,kupitia nchi za ulaya,kwa kuweza watu kuwatambua hawa watu,kuwa sio wazaliwa wa hizo nchi?
Wanaofahamu sheria watufahamishe,inawezekana ikawa dini fulani inaulaumiwa,lakini kumbe tatizo liko katika ufuatiliaji wa hawa wanaopewa passport bila kufuatilia ,kiuchunguzi.
Fraud kama hizi,ndio zinazalisha magaidi.Mara nyingi magaidi wanatumia mwanya huu.Kwa nini serekali nyingi za dunia,hazisambazi maelezo nq picha za watu waliopata passport,kupitia nchi za ulaya,kwa kuweza watu kuwatambua hawa watu,kuwa sio wazaliwa wa hizo nchi?
Wanaofahamu sheria watufahamishe,inawezekana ikawa dini fulani inaulaumiwa,lakini kumbe tatizo liko katika ufuatiliaji wa hawa wanaopewa passport bila kufuatilia ,kiuchunguzi.