Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Kumekuwa na dhana mbalimbali nyingine potofu juu ya njia bora za uzazi. Wengine wanaogopa kutumia kondomu kwa sababu tu zinatumika na vijana wazinifu.
Wengine wanaogopa kutumia vidonge eti vinaongeza makalio au cancer.
Sasa ebu tuambiene kwa wanandoa ipi ni njia bora ambayo haina madhara kiafya wala kimaadili.
1. Kondom
2. Sindano
3. Vidonge
4. Vijiti
Hizo ndio ninazo zifahamu kwa sasa kwa kujisomea kwenye vijitabu.
Wengine wanaogopa kutumia vidonge eti vinaongeza makalio au cancer.
Sasa ebu tuambiene kwa wanandoa ipi ni njia bora ambayo haina madhara kiafya wala kimaadili.
1. Kondom
2. Sindano
3. Vidonge
4. Vijiti
Hizo ndio ninazo zifahamu kwa sasa kwa kujisomea kwenye vijitabu.