Hatari sanaUnaambiwa leo salama kabisa tupia, unacheza kandanda safi unakuta umetipa nyavu mzee, zinaanza unajua sijaona siku zangu , na huu uchumi ulivyo unaanzaje kuwa na team ya mpira
Si ndiyo hapo sasa mkuu, yani usipo kuwa na habari na mimba unakuta himo, ila zile za kuitafuta utapiga vitu havinasi aiseehh kumbe ume experience hiyo kituDunia hii ya ajabu sana, kuna wengine wanatafuta lakini mimba inagoma, wewe katone tuu kamoja kanaharibu mambo
Haaaaa Haaaaa shida tupu Kivip BossNimetupia nje ila wife kanasa sasa sijui nilikosea wapi daaa shida tupu
Ni hatari sana.hapa akija huyu lazima turejee tu njia za mzunguhahahaha nacheka kama mazuri, njia za asili sio za kuziamini kabisa mimi niliwah kuambiwa wapo waganga wanafunga pia nikajisemea huko ndio kujifunga kizaz kwa njia ya ushirikina njia za kisasa shida ni zile side effects zake, zikikupenda had raha zikikuchukia utajuta shida utakazopata
naomba unijuze n nn hii??Ninatumia Coitus interuptus for almost 18 years now hakuna shida yoyote niliyo face. Pamoja na kwenda shule siziamini hizi contraception zinazohusiana na kubadili physiology esp. ishu za ki hormone
Coitus interuptus (withdrawing) yataka akili na timing sanaHaiko effective kabisa, kasome bios tena kuna zile vihelehele zinashoot mapema sana.
naomba unijuze n nn hii??