Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,239
- 188,815
Ya majivu nilishawahi kusikia.hahaha majivu anakunywa mwanamke baada ya tendo inafanya kama emmergency pills zinavofanya
mnyonyo huu ni mmea i really dont know exactly what its biological name ni mti flani una vimbegu vina kama miiba sasa mwwnamke anameza baada ya period yake kwisha anameza hizo tumba according na muda anotaka kuzuia mimba kumbuka sio minyonyo yote inafanya hio kazi ni ile inayojiotea yenyewe ndio husema ni the best
kuhusu kufunga kitambaa hii nayo mwanamke anachukua kitambaa alichotumia kuingia hedhi hakifui anakichukua na uchafu wake anafungia kama ni kabatini au kwenye chupa na kuificha mbali mtu asione wala panya sije akatambaa nacho
kuna flagyl pia lakini zote hizo bado zimesaliti mtu anatumia na mimba akabeba
Hiyo ya kitambaa aisee wanawake tuna shida....
Wakati nafanya fanya uasherati flagyl nimetumia 😶 haikuwahi kunikataa