Uungwana Vitendo
JF-Expert Member
- Nov 20, 2013
- 1,342
- 527
huyu mzee ni mnafiki aliwahi kujiunga CUF akapewa pesa akarudi CCM
Haya ndio ya kukumbuka shuka wakati kumekucha, huyu Mzee angehama wakati ule wa G55 ningemkubali sana, lakini alipohongwa Unaibu Waziri akaufyata nikajua ni wale wale!
ni kweli mkuu chadema wamepata mtu makini. ni sawa na yule arcado ntagazwa yuko vizuri sana yule mzee. nawashauri cdm hawa wanaohamia cdm na waliwahi kuwa mawaziri wawatumie vizur ili kupata siri na madhaifu mengi yanayofanyika kwenye idara za serikali.
lango litafungwa na nani? Mtei? au Mbowe? Acheni kujitekenya na kucheka wenyewe
What about Steven Wassira? alitoka CCM akaenda Chama kingine na akarudi. Yeye je?
No mwaka 2005 kasaka alishindwa ktk kura za maoni na mwambalaswa hivyo akahamia cuf lakin 2006 ktk mkutano wa ccm ulioongozwa nakikwete njelu alirud tena ccm 2010 njelu aligombea tena akashindwa ktk kura za maon akaendelea kuwamwanaccm muaminfu na mwaka huu kahama unajua kwann? huyu anaulilia ubunge san alioushika tangu mwaka 1990-2005 mwaka huu kweny ccm ameon hanauwezekan wakupita ndo mana kahamia cdm iliagombee ko sifa yake kubwa nikuw kila uchaguz unapofik na akion hakun uwezekan wakupitishw na ccm huama chama mwaka 2006alipokuw anarud ccm alitubu ktk mkutano ule kuwa yy ni mwanampotevu ko asamehewe ni baada ya cuf kushindw kumsimamisha kuw mgombea wao wa ubunge wasifu wa njeru aliwai kuwa mkuu wa mkoa tabora pia aliwai kuw naibu wazir wa afya
Huyo ni kacherooo aliyekomaa..mngejua msingekuja kushabikia hapa kama watoto...
Msikubali mapandikizi hayooo...mtajutaaa
Ujio wa hawa wavua gamba safi, angalizo kwa chama changu nikipendacho yani CDM wote wanao vua gamba wasigombee nyadhifa yoyote ndani ya chama. Lake zone tumeona mtu mmoja alivua gamba akavaa gwanda akapewa udiwani leo ni mwiba Ilemela so muwe makini na watu wa aina hii. Simunajua ccm walisema mbinu zao 100 wametumia 99 tu?. FREEDOM IS COMING.
Huyo ameanza kupigania tanganyika muda mrefu. ni mpambanaji na mzalendo wa kweli.
Ndio nani huyo? Hawa wazee akili zao zimechoka
Inakuhusu nini?
haa haa hivi unaweza fanya jambo bila ndoto?