Mwenyizalia
Member
- Nov 9, 2010
- 31
- 3
Safari hii magamba hamtapona mtasambaratika na kutawanyika kwa njia saba, na ndipo andiko litatimia
Ukombozi umeshafika, watanzania kuweni tayari wa mabadiliko kwa mara ya kwanza tangu uhuru wa taifa.
Kwa hisani ya JF, wajue wabunge 55 wa kundi lililodai Tanganyika mwaka 1993.
Wabunge 55 waliofahamika kama G55, wakiongozwa na mtoa hoja, Njelu Kasaka, waliiunga mkono hoja hiyo. Baadaye wakaongezeka wengine kumi na kuifanya idadi yao kuwa 65 hadi kufikia Julai 22, 1994.
Wabunge wengine waliounga mkono na majimbo yao ya wakati huo yakiwa kwenye mabano ni;
Mateo Tluway Qaresi (Babati),
Jenerali Twaha Khalfani Ulimwengu (Taifa/Jumuiya ya Vijana),
Mbwete Polile Hombee (Mbeya Vijijini),
marehemu John Byeitima (Karagwe),
Chediel Yohane Mgonja (same),
Japhet Sichona (Mbozi),
Benedict Losurutia (Kiteto ),
Dk. Mganga Kipuyo (Arumeru Magharibi),
Stanley Kinuno (Nyanghwale),
Dk. Aaron Chiduo (Gairo),
Edward Oyombe Ayila (Rorya)
Shashu Lugeye (Solwa).
Wengine walikuwa ni
John Mwanga (Moshi Mjini),
Dk. Deogratius Mwita (Serengeti),
Abel Mwanga (Musoma Mjini),
Juma Jamaldin Akukweti (Tunduru),
Patrick Silvanus Qorro (Karatu),
Steven Mwaduma (Iringa Mashariki),
Dk. Ndembwela Ngunangwa (Njombe Kusini),
Richard Koillah (Ngorongoro),
Ahmed A. Mpakani (Iringa Magharibi),
Paschal K. Mabiti (Mwanza),
Luteni Lepilal Ole Moloimet (Monduli),
Lumuli Alipipi Kasyupa (Kyela),
Profesa Aaron Masawe (Hai)
Arcado Ntagazwa (Kibondo).
Katika kundi hilo walikuwemo pia
Phineas Nnko (Arumeru Mashariki),
Paschal Degera (Kondoa Kusini),
Mussa Nkhangaa (Singida Mjini),
Halimenshi Kahema Mayonga (Kigoma Kaskazini),
Said Abdallah Nakuwa (Lindi Mjini), na
Mosi Tambwe (Taifa/Wanawake).
Duh...kama wazee hawa wanakikimbia chama cha majambazi nashangaa vijana wenye nguvu zao wanasubiri nini.....
Huyo ni mpinzani toka kitambo hivyo amerudi nyumbani kwake. Hana madhara huyo ni kopo aende huko amsubiri chizi mwenye kopo amfuate.
Alishahama lini? Weka rekodi sawa tusikuone wa hovyo
wale wote wanaotaka kuja cdm waje sasa , lango likifungwa wasimlalamikie mtu .
umeona eeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Asije kuwa mamluki tu
Hio post mbona sijahawahi i post humu? Na kwakweli na shangaa kuona umeni quote humu wakati haina relevance yeyote na Topic wala kinachokua discussed humu. Imeingieje?Wacha longolongo zako wewe mbona umeshondwa kupanga mipango mizuri na ukatoka na ushauri mzuri kwa lowasa hasipoteze ela zake kwenye kutangaza nia na badala yake azipeleke vituo vya afya kununulia dawa ili kuokoa maisha ya mama na watoto ?