Njelu Kasaka ajiunga na CHADEMA

Njelu Kasaka ajiunga na CHADEMA

"mturudishie CHAMA chetu" by Makongoro NYERERE
 
Ni Njelu Kasaka mbunge wa zamani wa jimbo la lupa wilayani chunya mkoa wa mbeya, leo ametangaza kukihama chama cha mapinduzi na kujiunga na chadema.

Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo,
"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"
Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!
Mkutano umefanyika chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako!

Makongoro amesema vibaka watuachie ccm yetu.
 
Ni Njelu Kasaka mbunge wa zamani wa jimbo la lupa wilayani chunya mkoa wa mbeya, leo ametangaza kukihama chama cha mapinduzi na kujiunga na chadema.

Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo,
"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"
Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!
Mkutano umefanyika chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako!

= kukiri
 
Anahangaaika tu huyu mzee miaka ya nyuma alihama ccm akahamia cuf baadae akahama cuf akahamia ccm sasa kahama ccm kahamia cdm.
Nadhani kachanganyikiwa anajaribu kutapatapa
 
Ni Njelu Kasaka mbunge wa zamani wa jimbo la lupa wilayani chunya mkoa wa mbeya, leo ametangaza kukihama chama cha mapinduzi na kujiunga na chadema.

Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo,
"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"
Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!
Mkutano umefanyika chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako!

huyu mzee anatabia ya kusema ukweli
 
Kama kumbukumbu yangu ipo sawa, Njelu Kasaka alishindwa kura za maoni CCM mwaka 1995, na baada ya kushindwa akahama CCM na kuhamia CUF ambako aligombea ubunge mwaka huo kwa tiketi ya CUF lakini akashindwa.


Baada ya kushindwa sikumsikia tena ndio namsikia leo, sina uhakika kama alihama tayari CUF au alibaki kuwa mwanachama mfu.
 
Anahangaaika tu huyu mzee miaka ya nyuma alihama ccm akahamia cuf baadae akahama cuf akahamia ccm sasa kahama ccm kahamia cdm.
Nadhani kachanganyikiwa anajaribu kutapatapa

Eti anaenda CHADEMA ya Mbowe na Wachaga, hata ubalozi wa CDM hawezi pata
 
Wengi wa waliotia nia wakikatwa majina yao watatimkia UKAWA ... soon CCM itaporomoka kama ambavyo vyama vingine vya Ukombozi vilivyoporomoka na kupotea ...

Lkn hasiwe lowasa aende zake act
 
Wariotoswa na mchujo wa uongozi wa Ccm.Sasa huyo amechujwa wapi na lini mkuu,au uelewa?

Mkuu huyo ni watoto wa juzi na hamjui mzee kasaka,amuulize pius msekwa
 
Kama kumbukumbu yangu ipo sawa, Njelu Kasaka alishindwa kura za maoni CCM mwaka 1995, na baada ya kushindwa akahama CCM na kuhamia CUF ambako aligombea ubunge mwaka huo kwa tiketi ya CUF lakini akashindwa.


Baada ya kushindwa sikumsikia tena ndio namsikia leo, sina uhakika kama alihama tayari CUF au alibaki kuwa mwanachama mfu.

Kama alivyo mwanachama mfu wa ccm,lwaitama
 
Huwa nasoma makala zake Raia Mwema na Rai. Ni Generali Ulimwengu.. Yeye haumi maneno na ninadhani Tundu Lissu atapata Msaidizi.
 
Back
Top Bottom