Ukombozi umeshafika, watanzania kuweni tayari wa mabadiliko kwa mara ya kwanza tangu uhuru wa taifa.
Kwa hisani ya JF, wajue wabunge 55 wa kundi lililodai Tanganyika mwaka 1993.
Wabunge 55 waliofahamika kama G55, wakiongozwa na mtoa hoja, Njelu Kasaka, waliiunga mkono hoja hiyo. Baadaye wakaongezeka wengine kumi na kuifanya idadi yao kuwa 65 hadi kufikia Julai 22, 1994.
Wabunge wengine waliounga mkono na majimbo yao ya wakati huo yakiwa kwenye mabano ni;
Mateo Tluway Qaresi (Babati),
Jenerali Twaha Khalfani Ulimwengu (Taifa/Jumuiya ya Vijana),
Mbwete Polile Hombee (Mbeya Vijijini),
marehemu John Byeitima (Karagwe),
Chediel Yohane Mgonja (same),
Japhet Sichona (Mbozi),
Benedict Losurutia (Kiteto ),
Dk. Mganga Kipuyo (Arumeru Magharibi),
Stanley Kinuno (Nyanghwale),
Dk. Aaron Chiduo (Gairo),
Edward Oyombe Ayila (Rorya)
Shashu Lugeye (Solwa).
Wengine walikuwa ni
John Mwanga (Moshi Mjini),
Dk. Deogratius Mwita (Serengeti),
Abel Mwanga (Musoma Mjini),
Juma Jamaldin Akukweti (Tunduru),
Patrick Silvanus Qorro (Karatu),
Steven Mwaduma (Iringa Mashariki),
Dk. Ndembwela Ngunangwa (Njombe Kusini),
Richard Koillah (Ngorongoro),
Ahmed A. Mpakani (Iringa Magharibi),
Paschal K. Mabiti (Mwanza),
Luteni Lepilal Ole Moloimet (Monduli),
Lumuli Alipipi Kasyupa (Kyela),
Profesa Aaron Masawe (Hai)
Arcado Ntagazwa (Kibondo).
Katika kundi hilo walikuwemo pia
Phineas Nnko (Arumeru Mashariki),
Paschal Degera (Kondoa Kusini),
Mussa Nkhangaa (Singida Mjini),
Halimenshi Kahema Mayonga (Kigoma Kaskazini),
Said Abdallah Nakuwa (Lindi Mjini), na
Mosi Tambwe (Taifa/Wanawake).