Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Anahangaaika tu huyu mzee miaka ya nyuma alihama ccm akahamia cuf baadae akahama cuf akahamia ccm sasa kahama ccm kahamia cdm.
Nadhani kachanganyikiwa anajaribu kutapatapa
Ccm wooooyeeeee
Anahangaaika tu huyu mzee miaka ya nyuma alihama ccm akahamia cuf baadae akahama cuf akahamia ccm sasa kahama ccm kahamia cdm.
Nadhani kachanganyikiwa anajaribu kutapatapa
Lkn hasiwe lowasa aende zake act
= kukiri
Eti anaenda CHADEMA ya Mbowe na Wachaga, hata ubalozi wa CDM hawezi pata
Fayza pole sana ime kuuma?
Jamani hivi yupo wapi saahizi huyu Mkuu ,Nuru na Nembo ya Chama chetu wana Kigoma?
Chadema kwa sasa ni Safina ya Nuhuwale wote wanaotaka kuja cdm waje sasa , lango likifungwa wasimlalamikie mtu .
Imeniuma sana., ndiyo maana nikarekebisha.
Wewe vipi, limekuingia bila kukuuma? umeona sawa kabisa?
Ni Njelu Kasaka mbunge wa zamani wa jimbo la Lupa wilayani Chunya mkoa wa Mbeya, leo ametangaza kukihama chama cha Mapinduzi na kujiunga na CHADEMA.
Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo.
"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"
Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!
Mkutano umefanyika Chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako!
Kama kumbukumbu yangu ipo sawa, Njelu Kasaka alishindwa kura za maoni CCM mwaka 1995, na baada ya kushindwa akahama CCM na kuhamia CUF ambako aligombea ubunge mwaka huo kwa tiketi ya CUF lakini akashindwa.
Baada ya kushindwa sikumsikia tena ndio namsikia leo, sina uhakika kama alihama tayari CUF au alibaki kuwa mwanachama mfu.
Fayza pole sana ime kuuma?
wapo wengine tunawatuma mtajibeba na tamaa zenu,
kumekucha .....
msaka tonge huyo,gari la manispa linapita ,
Imeniuma sana., ndiyo maana nikarekebisha.
Wewe vipi, limekuingia bila kukuuma? umeona sawa kabisa?
Nani? ZZk? Mafuta yamekwisha, bado anabembeleza kujaziwa.
Hawa wanaohamia CDM wasipewe kwanza nafasi ya kugombea nyadhifa za juu
Wengi wao wapo kimaslahi ndio maana wanahamia kipindi cha uchaguzi kama hiki
Wafanye kwanza kazi,waende field kule wakawaamshe watu kiakili,wajitolee kwa ajili ya chama,kwani CDM haikujengwa siku moja.Wenzao wakina Zitto (kipindi hicho) wamejila sana kuitangaza CDM na kufanya watu wengi hususan vijana kuvutiwa na siasa za upinzani