Njelu Kasaka ajiunga na CHADEMA

Njelu Kasaka ajiunga na CHADEMA

Anahangaaika tu huyu mzee miaka ya nyuma alihama ccm akahamia cuf baadae akahama cuf akahamia ccm sasa kahama ccm kahamia cdm.
Nadhani kachanganyikiwa anajaribu kutapatapa

Ccm wooooyeeeee
 
Fanya uchunguzi Zaidi Mkuu ... Ndani ya CCM wanaonekana kuwa ni afadhali ndo Mafisadi papa na wanaonekana kuwa ni Wachafu ndo watakatifu... Wasafi hawatakiwi ndani ya CCM Mkuu ... R.I.P Sokoine, Mgimwa, Nyerere, Kolimba, Malima, Mvungi, Chachage, Shaba et al ...
Lkn hasiwe lowasa aende zake act
 
Hawa wanaohamia CDM wasipewe kwanza nafasi ya kugombea nyadhifa za juu

Wengi wao wapo kimaslahi ndio maana wanahamia kipindi cha uchaguzi kama hiki

Wafanye kwanza kazi,waende field kule wakawaamshe watu kiakili,wajitolee kwa ajili ya chama,kwani CDM haikujengwa siku moja.Wenzao wakina Zitto (kipindi hicho) wamejila sana kuitangaza CDM na kufanya watu wengi hususan vijana kuvutiwa na siasa za upinzani
 
Ni Njelu Kasaka mbunge wa zamani wa jimbo la Lupa wilayani Chunya mkoa wa Mbeya, leo ametangaza kukihama chama cha Mapinduzi na kujiunga na CHADEMA.

Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo.

"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"

Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!

Mkutano umefanyika Chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako!


vijana wetu fanyeni kazi tuliyowatuma ripoti kila wakati leteni.tamaa zitawapoza na sifa za kijinga,wamejiungaa! n'go nani kakwambia.
 
Kama kumbukumbu yangu ipo sawa, Njelu Kasaka alishindwa kura za maoni CCM mwaka 1995, na baada ya kushindwa akahama CCM na kuhamia CUF ambako aligombea ubunge mwaka huo kwa tiketi ya CUF lakini akashindwa.


Baada ya kushindwa sikumsikia tena ndio namsikia leo, sina uhakika kama alihama tayari CUF au alibaki kuwa mwanachama mfu.


msaka tonge huyo,gari la manispa linapita ,
 
msaka tonge huyo,gari la manispa linapita ,

Utamjua siku yupo jengo la halmashauri ya chunya ana saini kuingia kwenye vikao vya maamuzi akiwa amevaa gwanda.
 
Imeniuma sana., ndiyo maana nikarekebisha.

Wewe vipi, limekuingia bila kukuuma? umeona sawa kabisa?

Teeeeh ,teeeeh,jitekenye mwenyewe na kujichekesha watu wanasonga kuelekea magogoni,mtajijua mwaka huu wategemezi wa lumumba.
 
Hawa wanaohamia CDM wasipewe kwanza nafasi ya kugombea nyadhifa za juu

Wengi wao wapo kimaslahi ndio maana wanahamia kipindi cha uchaguzi kama hiki

Wafanye kwanza kazi,waende field kule wakawaamshe watu kiakili,wajitolee kwa ajili ya chama,kwani CDM haikujengwa siku moja.Wenzao wakina Zitto (kipindi hicho) wamejila sana kuitangaza CDM na kufanya watu wengi hususan vijana kuvutiwa na siasa za upinzani

Zzk sasa ni mutu mukubwa ya chama,act,chezeya wewe!
 
Back
Top Bottom