Dona Kantri
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 346
- 115
Ni Njelu Kasaka mbunge wa zamani wa jimbo la Lupa wilayani Chunya mkoa wa Mbeya, leo ametangaza kukihama chama cha Mapinduzi na kujiunga na CHADEMA.
Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo.
"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"
Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!
Mkutano umefanyika Chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako!
Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo.
"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"
Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!
Mkutano umefanyika Chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako!