hivi kweli jamani mfano wewe binti una miaka 25 unakuta baba yako anatembea na msichana wenu wa kazi mwenye miaka 17 au 18, hata kama ndio mama alishatangulia mbele za haki au lets say waliachana kwa tofauti zao wenyewe, kweli itakuwa sawa? au tunamshauri tu huyu binti kwa kuwa limetokewa kwake na si kwetu? labda kwa watoto wa kiume ndo wanaweza wakaona sawa, ila kwa sisi watoto wa kike ni hapana bwana, romantic eyesrme naona jinsi ulivyojisikia baada ya kugundua kilichotokea ni sawa hata mimi ingeniuma sana, huyu baba yako hakatazwi kuwa na mwanamke mwingine hata kuoa akitaka aoe lakini sio huyo msichana wenu wa ndani tena mbaya zaidi kiumri bado mdogo eyes
Pole sana. Ngoja nikuambie, hata kama mama yako angekuwa hai huwezi kuwa mlinzi wa ndoa yake. Jifunze hilo.
halafu nitakupa ushauri wa wazi. Mwanaume yeyote anahitaji mlinzi mwanamke. Mama yangu alifariki 10 yrs ago na tunatamani hata kumlengesha mshua kwa mwanamke ili aoe na atunzwe. Its a headache kula yake, usafi wa nyumba, afya yake na hata control ya vitu vya nyumbani. Mama yako ameshaondoka, huyo maid hajachukua nafasi ya mama. Na angeweza kuwa mwanamke mwingine asiwe maid. Hata nguo za marehemu zinarithiwa, hicho chumba as long as mama yako hatarudi hapo achana nacho.
sasa ili usiudhike, fanya jitihada za kuondoka nyumbani. Soma shule, faulu, soma boarding, jifunze kurelax around issues na haswa ambazo hauwezi kuzicontrol. Muweke huyo dada karibu ili uweze ku-monitor issues zake na issues za baba. Kubali kwanza, mama hayupo tena na maisha yataendelea.
Hujatuelewa hatujasema baba alichofanya ni sahihi tumesema binti hana haki ya kujifanya kakasirika sana kama vile baba kafanya usaliti...huu sio usaliti....huku ni kuteleza...na wa kumsema. Baba kwa kuteleza wapo but sio huyu binti
Polehhhh...hata me nishamfumania mdingi liveeee bila chenga na jirani flani hivi,nilipata kichefuchefu,sikuamini aisee....kiutu uzima i kept quiet mama hakujua hata robo hadi leooo ,na ye mzee hakujua ka nilimuona ila heshima kwake tangu siku hyo imeshuka vibayaaaa mno,haniambii kitu aisee,namsikiliza mama angu tu
Hajajifanya kukasirika ila amekasirika, na ana haki, hata mimi ningekasirika saaaaaaaaaaana, na kwa comment zenu nimeona kama mna sapoti huyo baba manake mmemwambia asimpangie baba yake mwanamke wa kuwa nae sijui anahitaji mtu kipindi cha hiki upweke sijui nini, sijaona mliposema baba yako kakosea
ujinga ndio huu kwani nani amekwambia siyo baba yako? na kama ni hivyo kilichokuwasha wewe kuja hapa kushtaki kwenye mahakama ya umma ni nini?
tulia dawa ikuingie kama unataka kuishi dunia yako hama kwenye nyumba ya baba yako nenda kapange fanya maisha yako.
soma biblia ikuongoze badala ya kukata viuno na kupayuko bure, wale watoto waliomcheka baba yao alipolewa na kuna na yule ambaye slimsitiri baba yake.
Hivi wewe na mungu ni nani mwenye akili? hivi unajuwa kwenye biblia ni nani alizaa na mjakazi wake?
je unajuwa kizazi cha nuhu mabinti zake walimpa pombe baba yao ili alewe na baadaye walimbaka baba yao?
hivi mnapoleta mada hapa jf mnategemea huu ni mtandao wa vilaza ugongewe like na kusapotiwa ujinga tu?
hivi kweli jamani mfano wewe binti una miaka 25 unakuta baba yako anatembea na msichana wenu wa kazi mwenye miaka 17 au 18, hata kama ndio mama alishatangulia mbele za haki au lets say waliachana kwa tofauti zao wenyewe, kweli itakuwa sawa? au tunamshauri tu huyu binti kwa kuwa limetokewa kwake na si kwetu? labda kwa watoto wa kiume ndo wanaweza wakaona sawa, ila kwa sisi watoto wa kike ni hapana bwana, romantic eyesrme naona jinsi ulivyojisikia baada ya kugundua kilichotokea ni sawa hata mimi ingeniuma sana, huyu baba yako hakatazwi kuwa na mwanamke mwingine hata kuoa akitaka aoe lakini sio huyo msichana wenu wa ndani tena mbaya zaidi kiumri bado mdogo eyes
frankly speaking atakayemuoa huyu ni timer bomb ndio wale wale frola mbasha style.
hivi mtoto wa kike kumuonea wivu baba yako ukiambiwa alikuwa anakutafuna utabisha?[o/QUOTE]
Too much bro!
Muelewe huyu binti situation take.too way normal!
Msaidie kwa kumuelewesha alielewe bila kum attack!
Mnazidi kumtengenezea image mbaya kwa babake zaidi ya kumsaidia!anawaweka group moja kwani mnazidi tu kumuonyesha male dominance hata kweny mazungumzo ya kawaida!
Ambacho ndicho kinamtesa sasa hivi!
Babangu ni katili
Babangu hamheshimu mama
Babangu an a abuse mabinti wadogo
Huku nako ni yale Yale .
Ah hamumsaidii!
Cc gangchomba
Tatizo la jf utajibiwa kama ulivyokuja, maana style aliyoingia nayo amemuhukumu baba yake kwa kila kitu.
alichopaswa ni kuleta mjadala mezani halafu tuanze kuchambuwa mada kwa mapana, sasa yeye kinyume chake anataka watu wachangie kama mazuzu kumfurahisha yeye.
kuna mabandiko yangu ya kibiblia asome kwanza halafu akili ndio zitamrudia kwamba hakuna jipya linalofanyika duniani ambalo halina reference kwenye biblia.
na kwakuwa huyo binti kikatiba umri wake anaruhusiwa kuolewa je baba mtu akiamuwa kumuowa huyohuyo house girl nani mwenye jeuri ya kuingilia maamuzi yake?
kwa sababu nina mijicho mikubwa, and they are NOT romantic ila tu ni jina walilokuwa wanapenda sana watu kunitania ili nikasirike
Kwa hiyo ww unampangia baba yako mwanamke wa kumlala?...tatizo wanawake mnawadharau sana mabeki 3 mnaona kama sio watu.
Too much bro!frankly speaking atakayemuoa huyu ni timer bomb ndio wale wale frola mbasha style.
hivi mtoto wa kike kumuonea wivu baba yako ukiambiwa alikuwa anakutafuna utabisha?
Muelewe huyu binti situation take.too way normal!
Msaidie kwa kumuelewesha alielewe bila kum attack!
Mnazidi kumtengenezea image mbaya kwa babake zaidi ya kumsaidia!anawaweka group moja kwani mnazidi tu kumuonyesha male dominance hata kweny mazungumzo ya kawaida!
Ambacho ndicho kinamtesa sasa hivi!
Babangu ni katili
Babangu hamheshimu mama
Babangu an a abuse mabinti wadogo
Huku nako ni yale Yale .
Ah hamumsaidii!
Cc gangchomba
Hujatuelewa hatujasema baba alichofanya ni sahihi tumesema binti hana haki ya kujifanya kakasirika sana kama vile baba kafanya usaliti...huu sio usaliti....huku ni kuteleza...na wa kumsema. Baba kwa kuteleza wapo but sio huyu binti
...you're becoming stereotype!hivi kweli jamani mfano wewe binti una miaka 25 unakuta baba yako anatembea na msichana wenu wa kazi mwenye miaka 17 au 18, hata kama ndio mama alishatangulia mbele za haki au lets say waliachana kwa tofauti zao wenyewe, kweli itakuwa sawa? au tunamshauri tu huyu binti kwa kuwa limetokewa kwake na si kwetu? labda kwa watoto wa kiume ndo wanaweza wakaona sawa, ila kwa sisi watoto wa kike ni hapana bwana, romantic eyesrme naona jinsi ulivyojisikia baada ya kugundua kilichotokea ni sawa hata mimi ingeniuma sana, huyu baba yako hakatazwi kuwa na mwanamke mwingine hata kuoa akitaka aoe lakini sio huyo msichana wenu wa ndani tena mbaya zaidi kiumri bado mdogo eyes
Polehhhh...hata me nishamfumania mdingi liveeee bila chenga na jirani flani hivi,nilipata kichefuchefu,sikuamini aisee....kiutu uzima i kept quiet mama hakujua hata robo hadi leooo ,na ye mzee hakujua ka nilimuona ila heshima kwake tangu siku hyo imeshuka vibayaaaa mno,haniambii kitu aisee, namsikiliza mama angu tu
take this romantic eyes ...Kuna mentality moja umeweka kuwa house maid ni mtu duni. Sio sahihi. She is a woman, she deserves to love and to be loved, sawa na wewe sawa na baba yako.
Tukirudi kwenye mada, ni kweli inaweza kukuuma kugundua hilo. Lakini the way ulivyolihandle is totally wrong. Kama mtu mzima hukutakiwa kuparamia jambo emotional kama hilo kwa pupa. Ulipaswa utulie, ujifanye hujui kinachoendelea, with time may be in several days or even weeks akili yako ingetulia alafu ukaamua kwa busara zaidi. May be una mashangazi, bibi au jamaa wengine ambao ungewaeleza kiutaratibu mkashauriana mfanye nini...
Umemkosea baba yako heshima, kama una busara natarajia kesho umuombe msamaha...
baba yako sio mjinga
anajua anachofanya ni wrong ndo maana alifanya kwa siri
muache atalisahihisha mwenyewe...........
hupaswi kumkasrikia huyo housegirl......unamuonea....
na hupaswi kujifanya wewe ndo mlinzi wa 'heshima ya mama yako'...... utajipa stress za bure
nakushauri utafute boyfriend kama huna......the world is not perfect......soon you will realize that...
sijakataa kabisa kuwa baba yangu anahitaji mwenza by tha way umri wake unaruhusu vizuri sana, pia sijamdharau house maid since naishi nae kama mdogo wangu tu.... sasa ya nini kwenda kutembea na binti mdogo? haya basi awe nae ya nini kujiiba mtu mzima kama yeye? si angeweka wazi tu kwan sisi watoto wake tungekataa??
the situation is not the way you think maana sikwenda kumvamia chumbani kwake najua sio heshima kuingia chumbani kwa mzazi bila taarifa