Nivumilie - Baraka da prince ft Ruby


Teh teh......
 
Hawa ni waarabu wa pemba, Hata yule ni wa kuombea, nae ana pepo la michepuko, kwahiyo itabidi tufunge kwaajili yao wote.

Aisee shemeji haya sio mapepo...huyo Kaboom mwenyewe alikili mwanzoni kwamba nayeye aliwahi kuwa mwanahisa...
 
Last edited by a moderator:

Mmmmh!! Yaani hizi sababu zenu khaaaah! Hali ni mbaya kwakweli.
 

Hahahaaaaa! Naona umejihami mama, nimecheka!! Haya mama nyie ndio mnaongoza sawa eeeh?
 
Last edited by a moderator:
Huyu sumbai kweli ana pepo la kushare, ona anavyoweka msisitizo kabisa
"Tena raha saana, alafu hamnaga stress kabisaa"

Tena pepo linampelekesha ila hajijui tu!
 
Aisee shemeji haya sio mapepo...huyo Kaboom mwenyewe alikili mwanzoni kwamba nayeye aliwahi kuwa mwanahisa...

Teh teh.Hilo swali sikujibu..Ila kile anachokifanya Baraka the prince ndo nilikikataa
 
Last edited by a moderator:
Kwanini uibe wakati waweza pata wako peke yako?
Kuna mademu wengine wakali kinoma,Nakumbuka nilikuwa namshikaji mmoja hivi kila akimla demu wake anakuja kwangu kujisifia kuwa demu wake anajua mambo sana.So mshikaji kujisifu kukawa kumezidi saaaana nikasema ngoja nione mshikaji anafaudu nini.Ikabidi nianze utani wakijingajinga kwa uyo demu,Akaingia kumi nane zangu mara akaanza kuniita husband,Tukawa tunachat text kama mtu na mtu wake kumbe ni mtu na shemeji yake.Dem akaanza kuwa ananitumia vidio za porn night ikanibid nimuombe gem akakubali nikawa napiga gem saana.Kweli dem alikuwa anajua mambo kweli kweli,Sasa tatizo likaja demu anataka kumuacha mshikaji wake kisa mie na ananishauli mie nimuache manzi wangu.Nilikataa kwa sababu nampenda dem wangu lakini nilitaka nijue yaliyomo yamo kweli nikakuta yamo.Kwa hiyo ndo ivo nilikubali kushere kiivyo lakini sikuwa nampenda manzi ndo maana nilikubali kushere.
 
We katoto skiliza wakwako peke yako uwez kupata coz kila girl anasema ana m2 kipind unatongoza...hii dunia cjui imekuaje japokua waschana wanachukua robo mbili na nusu kwa wingi lakin cha ajabu kila girl ana m2 wake..asa man unajikuta peke yako ndo uko single..utafanyaje itabid ujitose ata akisema mi nna waume wawili wote wamenioa na we unafoce uwe wa tatu hahahahaaaaa.
 
atoto majibu ya reseach yako umeshayapata...

Nadhani...
 
Last edited by a moderator:

Mkuu ulikumbuka kondom? Je nawewe dem wako akifanyiwa kaama hivyo utajisikiaje
 
..nina kinyaa, nikifikiri the whole process nahisi kinyaa...!
Naweza kufanya hivyo kama sijui tumepangwa, lakini willingly...mmh ni ngumu!!
 
Last edited by a moderator:
..nina kinyaa, nikifikiri the whole process nahisi kinyaa...!
Naweza kufanya hivyo kama sijui tumepangwa, lakini willingly...mmh ni ngumu!!

Mbona kwangu uliweza ex darling?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…