mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,845
- 106,049
Kama unaelekea K1 auMkuu samahani, naomba hili jibu kwanza kabla ya mengine.
Ukiwa unaenda kilombero(Mimi niliishi ifakara) njiani kuna sehemu Ukipita tuu daraja flani kubwa unaacha rasmi lami unaingia barabara ya vumbi, ile sehemu inaitwaje na daraja nalo linaitwaje?
Yeyote anaweza kunijibu hili..
Nahitaji hili jibu serious.
ova