- Thread starter
- #101
Vyamavingi, utatakiwa uwaombe radhi wavidunda kwa kuipotosha historia na chimbuko lao. Kifupi ulichoeleza hakishabihiani kabisa na ukweli kuhusu kabila hili adhimu. Nitakuja na uzi kuhusu wavidunda panapo majaaliwa.Kabila la Wavidunda liko Idodi, Kilosa! Nawafahamu Wavidunda ambao asili yao ni Kisaki Morogoro Vijijini kandokando ya reli ya Tazara, wengine walihamia Wilaya ya Kisarawe, Pwani. Nadhani hata ninyi mmetokea Kisaki Morogoro
Vv