mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,019
- 1,945
Sukali hailimwi,inalinwa miwa ndio inalimwa na baadae huvunjwa na kupelekwa kiwandani ndio huzalishwa sukali,Mazao gani hasa yanalimwa wilaya ya kilombero ukitoa sukari
Ukiachana na miwa kule kilimo kingine ni mpunga ambao ni zao la biashara na chakula,lkn pia watu WA kule wanalima ndizi ,mihogo nk,kuna sehemu inaitwa mbigu huko wanalima sana ndizi na mahindi