Niulize chochote kuhusu Mfamasia na madawa

Dispensing- kuwapatia wagonjwa dawa kitaalamu
Compounding-kuandaa dawa katika maabara ndogo ya hospitali kulingana na mahitaji mahususi ya mgonjwa
Manufacturing-kutengeneza dawa katika viwanda vya dawa
Management-usimamizi wa mfumo mzima wa ugavi wa dawa yaani ' drug supply chain'
Public health consultancy- kushirika ktika program mbalimbali zinazolenga kuboresha afya ya jamii
Research-utafiti wa dawa za binadamu
nmependa sana kwl unafata code of ethics vizur za pharmacy professional maana umewajib vizur kwa niaba ya wafamasia wengine kama mimi
 
Nilkua naulza na ufaulu wa grade C in chemistry na B in biology but physics na mathematics na F je naweza kusomea pha
 
Nilkua naulza na ufaulu wa grade C in chemistry na B in biology but physics na mathematics na F je naweza kusomea pha
Vyuo vya Private unapata bila shida mkuu omba, ila kwa vyuo vya serikali haiwezekani kabisa.
 
Mgonjwa anapata athari mbaya ya dawa ambazo hazijatanabaishwa kwenye leaflet ya dawa hiyo, Ni hatua gani ungechukua kuchunguza na kusimamia hali hii ipasavyo?
 
Gharama za kufungua pharmacy kwa kawaida zinategemea vitu viwili sehemu eneo na ukubwa wa pharmacy unayohitaji!ukitoa gharama za frame gharma za mtaji wa dawa pekee zinaanzia 5m .
Kuhusu mfamasia: utahitajika kumuajiri mfamasia aliyehitimu na ambaye amekwisha sajiliwa na The pharmacy council of Tanzania.
Malipo kwa mfamasia itategemea na makubaliano yenu lakini kwa Dar es salaam ni wastani wa 1.2- 1.4m kwa retail pharmacy na 1.8-2m kwa wholesale pharmacy ..kwa mikoani gharama ziko chini kwa wastani wa 700k mpaka 1m
Kwenye mishahara hapa umeamua tu kuwapiga tag wenzio, labda pharmacy kubwa tu ndo zinalipa hivi.
 
Watu wana pharmacy mpk milioni 3 kushuka chini mkuu

Si kweli kwamba kianzio ni million labda hiyo ni recommendations zako
Ukishakuwa na frame na kila kitu tayari dawa hazina gharama
Ishu nikuandaa frame na mahitaji take yote
Kuhusu dawa ata milioni mbili unajuza pharmacy otherwise unataka kuuza jumla jumla ila rejareja ela ndogo tu
Mkuu tusaidie mahitaji yake tujifunze ukitoa mtaji na gharama zake
 
Mtoto wa mdogo wangu matokeo ya form 4 ana A na B tu cha ajabu eti kachaguliwa CBG nyie hii kozi huyu mtoto atakuwa nani?
 
hongera Druggist kwa kutoa elimu kwa umma code mojawapo inasema be proud of your Professional
 
Back
Top Bottom