tss
Member
- Aug 31, 2023
- 73
- 37
Habari Wana jamvi,
Hivi mfamasia anauwezo wa kusimamia pharmacy ngapi Kwa kutumia cheti chake, na je majukumu yake ndani ya hiyo pharmacy ni kukaa humohumo na kuuza dawa au ni yapi?
Na mfamasia mwenye diploma akitaka kufungua pharmacy na yeye mpaka atumie cheti Cha mfamasia mwenye degree.
Na je, atamlipa sawa na wafanyabiashara wengine kisheria?naomba kuwasilisha
Hivi mfamasia anauwezo wa kusimamia pharmacy ngapi Kwa kutumia cheti chake, na je majukumu yake ndani ya hiyo pharmacy ni kukaa humohumo na kuuza dawa au ni yapi?
Na mfamasia mwenye diploma akitaka kufungua pharmacy na yeye mpaka atumie cheti Cha mfamasia mwenye degree.
Na je, atamlipa sawa na wafanyabiashara wengine kisheria?naomba kuwasilisha