tss
Member
- Aug 31, 2023
- 73
- 37
Habari Wana jamii ,Mimi nilikuwa nauliza kama unadiploma ya pharmacy je ukitaka kufungua pharmacy yako binafsi itabidi mpaka uweke cheti Cha mfamasia mwenye degree,na je cheti Cha mtu mwenye diploma anaruhisiwa kutumia cheti chake kusimamia duka la dawa hata kama Hana degree.napenda kuwasilisha kwenu