Sacsosanct
Member
- Sep 2, 2014
- 24
- 34
Habari wadau! Naomba kujua dondoo muhimu kabla ya kufungua duka la dawa rejareja (pharmacy sio DLDM) na vigezo gani kuzingatia kabla sijaenda mamlaka husika niwe na ABCD. Asanteni wadau.
Je, cheti cha mfamasia mmoja kinawezakutumika zaidi ya mara moja kwa wakati mmoja?
Je, cheti cha mfamasia mmoja kinawezakutumika zaidi ya mara moja kwa wakati mmoja?