Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona hujitokezi tena?Habari!
Mmi ni mfamasia mzalendo niulizeni maswali yyte kuhusu pharmacy ,mfamasia na dawa
Aksanteni
Ndiyo baadhi ya dawa zinaweza tengenezwa na kuwa za kulevyaje ni kweli hizi dawa tunazotumia zinaweza kutengenezwa zikawa dawa za kulevya ? kama jibu ni ndio ni zipi hizo niorodheshehe ?
Gharama za kufungua pharmacy kwa kawaida zinategemea vitu viwili sehemu eneo na ukubwa wa pharmacy unayohitaji!ukitoa gharama za frame gharma za mtaji wa dawa pekee zinaanzia 5m .nimekuwa na matamanio ya kufungua pharmacy kwa wastani mtaji ni kiasi gani? ni kweli kwamba lazima mfamasia mwenye degree awepo kwenye pharmacy? malipo ya mfamasia ni fixed au ni maelewano? ni kiasi gani kama ni fixed? nikitaka kuwa na pharmacy inayotoa huduma ya bima utaratibu wake unakuwaje...? kuna viwango vya mtaji unapashwa kua navyo kuweza toa huduma hizo za bima? nawasilisha
Kuhusu potential inategemea ! Lkn kama unavojua changamoto ya kazi imekuwa kubwa hpa nchini hvo pharmacy imekuwa na competetion kidogo ktu kzr ni kuwa hauwez lala njaaPharmacy (bachelor) bado ina potential kama zamani?
Kuna ukweli kweli hapa mkuu?..Gharama za kufungua pharmacy kwa kawaida zinategemea vitu viwili sehemu eneo na ukubwa wa pharmacy unayohitaji!ukitoa gharama za frame gharma za mtaji wa dawa pekee zinaanzia 5m .
Kuhusu mfamasia: utahitajika kumuajiri mfamasia aliyehitimu na ambaye amekwisha sajiliwa na The pharmacy council of Tanzania.
Malipo kwa mfamasia itategemea na makubaliano yenu lakini kwa Dar es salaam ni wastani wa 1.2- 1.4m kwa retail pharmacy na 1.8-2m kwa wholesale pharmacy ..kwa mikoani gharama ziko chini kwa wastani wa 700k mpaka 1m
Ugumu wa kitu inategemea na unalinganisha na nni?Je kozi ya famasi ni ngumu sana.maana kuna kazi nataka kuacha nika some hii kozi.nimechoka kugombana na raia Nina chemistry E biology C the rest S
unazingua bossalidhani ataulizwa kwa mpesa
Ndiyo ukichomwa dawa za inflammation zinaitwa steroids mfano cortisone zinaweza ongeza kiwango cha sukari ambayo ni hatari kwa wagonjwa wa kisukarimbona hujitokezi tena?
eti kuna sindano ukichomwa km una Diabates (sukari) na haijagundulika unaweza katisha maisha?
Hakuna kitu wanachoma mahindi tu.Pharmacy (bachelor) bado ina potential kama zamani?
Chuo chochote unasoma tu medicine maana ukiajiriwa huwa hawaangalii unajua kiasi gani,mambo mengi utayajua vizuri baada ya kupata uzoefu
NdiyoKuna ukweli kweli hapa mkuu?..