Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

kwenye simu unajaza fresh tu download camscaner piga picha document fresh tu
Wew umeshamaliza kuomba na kama umemaliza hizo taarifa unazojaza baadae una download au ukishamailza huko ndo basi tena.
 
Mmh huku hao watu ni wachache mkuu na waliopo huku wengi wanajuajua tuvitu vitu.
Wacha tusaidie kushare link ya whatsapp.
Japo nimeingia hiyo link nmekuta ni kama kuna members za jf tu 😂😂😂. Ni kama umewapa ndoano vijana wako humu 😂😂
 
Kwanini vyuo vingine quality assurance inakuwa chini ya NACTE pekee, vyuo vingine quality assurance inakuwa chini ya TCU pekee na vyuo vingine quality assurance inakuwa chini ya NACTE na TCU kwa pamoja?!
 
hivi tunaomba vyou via tcu au vyuo husika<>??.. ALAFU MBONA KUUPLOAD PICHA YA MZAMINI NA MWOMBAJI INAGOMA KWENYE MFUMO WA HESLB
 
Nilikuwa nafanya application,ila nilipofka kwa Udom Kuna step inasema attach ducoment,lakin vyuo vingne hamna ivi ni ducoment gan tunaattach apo,?
 
Kuapply chuo ni lazima uwe na C mbili na kuendelea?,nimeangalia qualifications za guidebook ya TCU nao kila kozi lazima uwe na priciple passes mbili na wakidefine principle pass kama C and above.
 
Kuapply chuo ni lazima uwe na C mbili na kuendelea?,nimeangalia qualifications za guidebook ya TCU nao kila kozi lazima uwe na priciple passes mbili na wakidefine principle pass kama C and above.
Mhhhh alafu ukiwa na D huruhusiw au
 
Naomba msaada nimeshamaliza kujaza fom yte lkn kwnny ku submit tangu juz uki click ina kaa tu haifanyi chchte
 
Ndio nataka kupewa ufafanuzi maana Tcu guidebook yao ndo wanasema hivyo means hata wenye division two wengi hawaqualify
Ngoja waje wakuu watujuze
Lakini mbona vigezo vingine at least uwe na DDD au CDD
Sidhani kama lazima uwe na C na kuendelea
 
Ndio nataka kupewa ufafanuzi maana Tcu guidebook yao ndo wanasema hivyo means hata wenye division two wengi hawaqualify
Hapa
20210718_193906.jpg
 
Ningependa kuliza hivi kama mwaka jana niliomba mkopo nikafata taratibu zote harafu kwa bahati mbaya nikashindwa kwenda chuo wala pia sikufatiria kama mkopo niliopata au lah, mwaka huu nataka niombe tena je Nafata utaratibu gani kwenye ku apply?
 
Kuna mzazi wa huyu mwanafunzi namba 535 alitaka kusoma shahada ya uandisi, nimeona kwa vigezo vya sasa hana sifa.

Vipi kuna njia gani nyingine anaweza toboa kwa upande wa kusoma shahada?
13d7461d9e34ff8dba23cb4f2bd3f880.0.jpg
 
Back
Top Bottom