magasi jnr
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 364
- 571
Hawezi, labda akasome shahada ya ualimu, au akasome diploma ya uhandisiKuna mzazi wa huyu mwanafunzi namba 535 alitaka kusoma shahada ya uandisi, nimeona kwa vigezo vya sasa hana sifa.
Vipi kuna njia gani nyingine anaweza toboa kwa upande wa kusoma shahada?
View attachment 1859836