Calvin 45
Member
- Aug 7, 2019
- 7
- 0
Huwa anatakiwa kulipa deni angalau asilimia 25% then anatuma maombi ya mkopo tena, kama ana sifa atapata kama kawaida. na huwa wanatumia sheria za mwaka ulioomba mkopo kwa mara ya kwanza.Na kama mtu aliacha cho bila kutoa taarifa je?
Naye utaratibu ni huu?
Maake kuna kijana hapa mtaani aliacha kwa sababu ya ki financial
mfano kama uliomba mwaka wa masomo wa 2019/2020 watatumia muongozo wa mwaka huo
ila kwa mtu aliye acha chuo anatakiwa kufatilia udahili wake upya TCU akishapata chuo anafanya maombi kama kawaidaaa