The Simpsona
Member
- Jul 26, 2022
- 42
- 58
Wakuu mbona imtu haipo kwa tcu guidebook
Umesha register kwny Repayment system.!?Mkuu kuna mdogowangu alikuwa mnufaika wa bodi ya mkopo ila mwaka wa kwanza tu akaliwa kichwa hivyo anahitaji kulipa hiyo asilimia 25 ili haweze kujalibu bahati yake,, sasa anashindwa namna ya kurequest control number ili haweze kulipa.
Msaada wako mkuu
Akikujibu nistueMkuu ulishalipatia majibu hili?
najibu mie hapa verfication number ya rita unapata mda ule ule ulioomba chet kuwa verfied ila sijajua kam wanakua wameiingiza kwenye system kabla ya kukurudishia cheti chenye mhuriAkikujibu nistue
HapanaMkuu ulishalipatia majibu hili?
Na kwa kuongezea. Verification code ili iwe kuwa active kutumika itakulazimu kusubiri kwa siku 5-10 kwa siku za kazinajibu mie hapa verfication number ya rita unapata mda ule ule ulioomba chet kuwa verfied ila sijajua kam wanakua wameiingiza kwenye system kabla ya kukurudishia cheti chenye mhuri
Kam umeandika entry number sahihi subri tu mkuu mpka hata Zaid ya siku 10-15 za kazi watakupa majibu ila kama umekosea entry number hapo ni kipengere inabidi utume maombi upyawakuu toka Jumamosi ya kesho nafikisha week mbili toka nimelipia malipo kwa ajili ya kuhakiki cheti Rita lakini kimya hakuna jibu lolote shida yaweza kuwa nini?
Nataka kuanzisha chuo Cha afya kwa ngazi ya cheti na diploma,zipi taratibu zake kwa mujibu wa nactehabari wana Jf karibu uulize chochote kuhusu mwaka wa kwanza watarajiwa songea uulize jambo lolote linalohusu bodi ya mkopo , kujiunga chuo chochote. sana sana
SUA.
UDSM
MZUMBE
UDOM
IFM
TIA
CBE
TIA
NIT
entry namba ipo sahihiKam umeandika entry number sahihi subri tu mkuu mpka hata Zaid ya siku 10-15 za kazi watakupa majibu ila kama umekosea entry number hapo ni kipengere inabidi utume maombi upya
Basi vumilia tu mkuu Kuna mtu nilimuombea tarehe 10 wametoka majibu tarehe 27 so Kuwa mvumilivuentry namba ipo sahihi
25Kuomba mkopo mwisho miaka mingapi?
Acha uongo.