Ghulaam
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 1,862
- 1,472
Maswa CATC or COTCvipi kili chuo cha maswa nasikia kinatoa clinical assistant (CA) naomba maelezo yake please yaani kipo chini ya serikali au private
ni cha Serikali
Maswa CATC or COTCvipi kili chuo cha maswa nasikia kinatoa clinical assistant (CA) naomba maelezo yake please yaani kipo chini ya serikali au private
Ni Cha Serikali! Kuongezea Tu! Vyuo Vingi Vinavyoanza Na Jina La Hiyo Sehemu Kumalizia Na COTC! Ni Vya Serikali Mfano; Mtwara COTC, Lindi COTC, Etc.vipi kili chuo cha maswa nasikia kinatoa clinical assistant (CA) naomba maelezo yake please yaani kipo chini ya serikali au private
Nurse degree holder hata mawilayani wanaweza wasiwepoJe ni kweli Sio anakuwa juu kimajukumu kwa nurse degree holder
Amo inafahamika Nje ya Tanzania?Nurse degree holder hata mawilayani wanaweza wasiwepo
Huyu CO hata kijijini pembezoni huko utamkuta
Majukumu yao hayawezi kufanana mkuuu
PharmacyHio na medical lab ngaz ya dplm ipi nzur mkuu
[HASHTAG]#ndio[/HASHTAG] majukumu hayafanani lakini nurse degree holder........Nurse degree holder hata mawilayani wanaweza wasiwepo
Huyu CO hata kijijini pembezoni huko utamkuta
Majukumu yao hayawezi kufanana mkuuu
Never equivalent to MDAMO Ni Assistant Medical Officer, Ambae Yeye Kasoma 2 Years Course Baada Ya Kumaliza CO! Ni Equivalent To MD!
Kirefu cha NTA level 4/5/6 ????
Modules za clinical medicine zikoje, naweza pata faster kabla ya kwenda niperuse.Habari Wadau Kwa Mwenye Maulizo Yoyote Kuhusu Course Ya Clinical Medicine (CO & CA)
Usisite Kuuliza Hapa:
1. Admission
2. Modules
3. Mikopo
4. Life La Kitabu
5. Maswali
6. Ushauri
7. Msaada Wowote.
Majukumu Mkuu! Asante Kwa Kufafanua Hili Upo SahihJamaa sijui kapotelea wap...anyway kirefu cha NTA sijui...nachojua ni kuwa level 4 basic tecnician, level 5 ni basic certificate, level 6, ni ordinal diploma, level 7 ni advanced diploma level 8 barchelor degree...kiufupi ni vifupisho vya kiwango cha elimu...wengine wataongezea
Zipo Ndugu! Ni Pm Number Ya Whatsapp Au E mail NikutimieModules za clinical medicine zikoje, naweza pata faster kabla ya kwenda niperuse.
NTA-National Technical AwardJamaa sijui kapotelea wap...anyway kirefu cha NTA sijui...nachojua ni kuwa level 4 basic tecnician, level 5 ni basic certificate, level 6, ni ordinal diploma, level 7 ni advanced diploma level 8 barchelor degree...kiufupi ni vifupisho vya kiwango cha elimu...wengine wataongezea
Lakini kumbuka mitaala katika hii Course hubadilika mara kwa mara, kwahiyo it's better kufika chuo kwanza...Modules za clinical medicine zikoje, naweza pata faster kabla ya kwenda niperuse.