Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Too much is harmful
Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Arusha.Kiukweli nimekuwa naboreka sana na kitendo cha kutoridhika na kutosheka kimapenzi.Kwa kawaida ninapokuwa faragha na mpenzi wangu huwa namchapa magoli sita mpaka nane lakini kila tukimaliza huwa bado najisikia kuendelea na tendo tena.Mara kadhaa nimekuwa nikienda mrina kununua wadada wanaojiuza lakini bado kiu yangu haikati!!SUALA LINANIPA WAKATI MGUMU SANA....NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUWA KAWAIDA TU...,??USHAURI WAKO NI WA MUHIMU
bao kuntu lakini si kama la kuku ha ha ha
ndiyo goli chache lakini unatoa mpaka ukucha unasisimka lohMmmmmh!!
na kausingizi kanakupitia hapo hapo loh..Kuntu haswa, fikiria linatafutwa kwa zaidi ya dk 15 kwa chenga za hatari toka katikati hadi golini kwako.. Ukikojolewa na nguvu zinakuisha unatulia kwanza..
hivi hayo magoli sita mpaka nane huwa unakojoa kama kuku au ?
halafu nani kakuambia kukojoa magoli mengi ndio kuridhika? hivi unajua wanaume pia kunautamu zaidi ya kukojoa?
hivi hayo magoli sita mpaka nane huwa unakojoa kama kuku au ?
halafu nani kakuambia kukojoa magoli mengi ndio kuridhika? hivi unajua wanaume pia kunautamu zaidi ya kukojoa?
Kosa ulitahiriwa kabla kwa hiyo endelea tu na ukae ukijua hata kupata watoto kwako itakuwa shida. Hizo bao za kuku. Bao 8 unajua maana ya bao au unasikia kwa jirani?
na kausingizi kanakupitia hapo hapo loh..
aisee just comeMe kama sijui vile........kumbe kuna utamu........damn it.......I knew it........something about you makes me wanna come over for some little chit chat...... champagne.......and the unmentionables ..........damn just want chance and our worlds will experience the difference........
nitakavyoruka tiki taka hutaamini kimoja kinatoshaHahahahah.. Nakuamsha fasta, nikupe tena