Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

hakunaga bao nane aseh,ucinidanganye.... kick haitaftwi kwa njia hii bro.
 
Mhindi akiwa na njaa hujikuna kichwani. Mswahili akiwa na njaa anakuna tumbo. Wewe kwa sababu hujui kwanini kugegedana kupo unapiga bao nane. Ukijibu kwanini mgegedo upo utaelewa.
 
Goli nane? hakuna hata matangazo ya biashara? sasa koni inarabwa muda gani? goli ni moja tuu. labda la pili kama nasafiri.
 
Bao nane ni sawa na kutoka dar es salaam mpaka Tanga tena kwa Mbio kama za Usain Bolt...

Wakati mwingine Chai kama hizi mtuletee name Vyapati
 
Bao nane ni sawa na kutoka dar es salaam mpaka Tanga kwa miguu tena kwa Mbio kama za Usain Bolt...

Wakati mwingine Chai kama hizi mtuletee na Vyapati
 
Hizo bao sita au nane unapiga ndani ya muda gani?Mi naona Umeamua KUJITANGAZA TU KUWA UNAHITAJI DEMU WA KVTOMBA, ila unachoongea hakina uhalisia la sivyo wee ni mzee wa viagra.
 
Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Arusha.Kiukweli nimekuwa naboreka sana na kitendo cha kutoridhika na kutosheka kimapenzi.Kwa kawaida ninapokuwa faragha na mpenzi wangu huwa namchapa magoli sita mpaka nane lakini kila tukimaliza huwa bado najisikia kuendelea na tendo tena.

Mara kadhaa nimekuwa nikienda mrina kununua wadada wanaojiuza lakini bado kiu yangu haikati!

SUALA LINANIPA WAKATI MGUMU SANA..NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUWA KAWAIDA TU?

USHAURI WAKO NI WA MUHIMU

6-8 means una common immature ejaculations problem....tafuta dawa ya tatizo hilo
 
we nenda tu mrina, ukiupata ukimwi unafikiri hata utafikiria bas hayo mambo, yatakuwa majuto tu
 
hivi hayo magoli sita mpaka nane huwa unakojoa kama kuku au ?


halafu nani kakuambia kukojoa magoli mengi ndio kuridhika? hivi unajua wanaume pia kunautamu zaidi ya kukojoa?

Jaman msimshambulie huyu jamaa Wakat hakuna aliyethibitisha, watu tumeumbwa tofaut na tofaut zetu pia zipo tofaut. Naomba miss chagga coz upo nae chuga huko ukatest then uje kutupa mrejesho pls. Just idea...
 
Asituchoshe nafsi zetu bao nae za mikono vidole au? kila bao unatumia dakikangapi na unafanya nini na nini? ebu weka menu yako nione...
 
Jaman msimshambulie huyu jamaa Wakat hakuna aliyethibitisha, watu tumeumbwa tofaut na tofaut zetu pia zipo tofaut. Naomba miss chagga coz upo nae chuga huko ukatest then uje kutupa mrejesho pls. Just idea...
ha ha ha mabao nane duh me sitaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom