Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Arusha.Kiukweli nimekuwa naboreka sana na kitendo cha kutoridhika na kutosheka kimapenzi.Kwa kawaida ninapokuwa faragha na mpenzi wangu huwa namchapa magoli sita mpaka nane lakini kila tukimaliza huwa bado najisikia kuendelea na tendo tena.

Mara kadhaa nimekuwa nikienda mrina kununua wadada wanaojiuza lakini bado kiu yangu haikati!

SUALA LINANIPA WAKATI MGUMU SANA..NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUWA KAWAIDA TU?

USHAURI WAKO NI WA MUHIMU

Oa wanawake wengi basi ,acha kupoteza nguvu kwa sifa za kijinga
 
Duh, vijana mna mambo, goli nane?

Magoli kama ya kuku,sekunde sita goli,sekunde 13 goli. Jitahidi kabisa uwe unapiga timu ya taifa..
Hongera sana mdogo wangu.
 
Tuma picha tuone ulivyo,maana nais yamekunyonya ngoz
 
Uwezo gani huo hiyo ni defect asa unapiga bao kibao af huridhiki inamaana kiini cha raha na utamu wa mapenz hukipat ndomana huridhiki asa we wasema uwezo uwezo gani pumba huo...ila alokufunza ngono ndo mwenye makosa
 
Bao za rijali ni 3 kwa wastani wa masaa 3.Kinyume na hapo utakuwa una pre ejaculate af unajihis umetoa bao! Sijawahi na sitawahi kuamini hizo stori za bao nane in a row.Mkuu RIC WA KISHETI hiki kipindi chako cha leo peleka star t.v
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Arusha.Kiukweli nimekuwa naboreka sana na kitendo cha kutoridhika na kutosheka kimapenzi.Kwa kawaida ninapokuwa faragha na mpenzi wangu huwa namchapa magoli sita mpaka nane lakini kila tukimaliza huwa bado najisikia kuendelea na tendo tena.

Mara kadhaa nimekuwa nikienda mrina kununua wadada wanaojiuza lakini bado kiu yangu haikati!

SUALA LINANIPA WAKATI MGUMU SANA..NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUWA KAWAIDA TU?

USHAURI WAKO NI WA MUHIMU

Mwanaume gani asiyeridhika akipiga goli.Wewe utakua ni wale majamaa kwenye porn mpaka watiwe ndole...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom