Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

Mtu anaomba ushauri watu mnatukana,mnaleta dharau,kejeli,utani,Masimango jamani sio sawa!!,bora kupita tu kuliko kufanya hivyo.
 
Ungekuwa hukojoi Ningekushauri lakini kama unakojoa, ni dalili kuwa unaenjoy ila inaelekea una tatizo la kupenda na kuwazia ngono muda wote.
 
Duh!! magoli sita hadi nane? sidhani kama kuna ukweli katika hilo. Huwezi kukojoa hadi mara 8 kwa tendo moja hata kama ni kwamba huridhiki.
Ok. Ni hivi;
Kuridhika ni hali ya hamu yako ya kufanya mapenzi kuisha kwa kufika kilele cha utamu wenyewe wa mapenzi na si vinginevyo. Ushauri wangu, chunguza tatizo hasa ni nini maana hii si hali ya kawaida. Tumia asali ya nyuki wakubwa ambayo haijachakachuliwa itaweka sawa homon yako kwenye swala zima na utengenezaji wa mbegu za kiume. Au wasiliana nami PM nitakusaidia kama uzi wako inaukweli na si uongo.
 
Una pepo , nenda kanisa lolote la kiroho ukaombewe tatizo lako litaisha kabisa
 
Huko sio ku. To. ...a bali anatekenya. Wazee naomba mpelekeni mtoto shule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom