MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,607
Denti mmoja msichana mapepe wa chuo aliingia ofisini kwa Profesa akiwa kavalia kiuchokozi chokozi.
Mazungumzo yalikuwa hivi:
Denti: Mambo Profe?
Profesa: (Hakujibu bali aliuliza) Unasemaje?
Denti: Nimekuja na "proporsal" yangu.
Profesa: Iweke juu ya meza nitaiangalia baadae.
Denti: Hapana sio hivyo, ni mipango tu baina ya mimi na wewe; si unajua tena?
Profesa: Sema, unasemaje?
Denti: Niambie unataka nifanye nini ili nifaulu mtihani wako wa kesho? We sema tu, ninaweza kufanya chochote.
Profesa: Kweli? Unaweza kufanya chochote nitachokuambia?
Denti: Ndio Profe, chochote, we sema tu mi niko tayari.
Profesa: Kama ni hivyo sawa, rudi nyumbani kasome mada zote 12 tulizosoma katika semesta mbili.
Mazungumzo yalikuwa hivi:
Denti: Mambo Profe?
Profesa: (Hakujibu bali aliuliza) Unasemaje?
Denti: Nimekuja na "proporsal" yangu.
Profesa: Iweke juu ya meza nitaiangalia baadae.
Denti: Hapana sio hivyo, ni mipango tu baina ya mimi na wewe; si unajua tena?
Profesa: Sema, unasemaje?
Denti: Niambie unataka nifanye nini ili nifaulu mtihani wako wa kesho? We sema tu, ninaweza kufanya chochote.
Profesa: Kweli? Unaweza kufanya chochote nitachokuambia?
Denti: Ndio Profe, chochote, we sema tu mi niko tayari.
Profesa: Kama ni hivyo sawa, rudi nyumbani kasome mada zote 12 tulizosoma katika semesta mbili.