Nitawezaje Kukabiliana na Majaribu Haya?

no sina amani na maelezo yako! kwa nn ulichukua hatua ya kulala kitanda k1 na mke wa m2, ulipata wapi ujasiri wa kumwambia hvyo? usitumie matatizo ya watu kukamilisha haja za mwili wako, ila ukweli ni kwamba umesha lamba mke wa m2 na sasa umeshiba unatafuta njia ya kuua soo.
 
Sasa na wewe unalalaje kitanda kimoja na wanandoa?? Waachie kitanda wewe lala sebuleni

Fanya hima uende ukamwokoe. Ameanzisha hii sredi kusisitiza kuwa anakuhitaji kuliko mahitaji. Kwenye 6x6 wanaume watapeana makalio pale kati na wakike mtakuwa pembezoni.
 
Lakini nao wana set nzima ya makochi na tumezibebanisha pamoja hivyo hata kulala humo ni kazi ndo maana nashindwa kufanya hivyo, nilitegemea labda mtanishauri vinginevyo. Sihitaji kummega huyu dada!

Usiku tandika godoro au mkeka kwenye kanjia kalikobaki hapo sebuleni ulale na asubuhi ukunje vizuri hilo godoro/mkeka na uuweke juu ya hayo makochi yaliyobebana.
Kumbuka sheria ya kulala sebuleni: "Wa mwisho kulala, wa kwanza kuamka"
Ni hayo tu.
 
Even worse...atalalaje na mke wa rafikiye kitanda kimoja?

Kumbuka anatoa msaada kwenye tuta, maana wangelala Ubungo stand. Mkuu ingekuwa enzi za Yesu, unafanana na yule mjane aliyetoa vipande viwili na Yesu akaipenda sadaka yake.
Ushauri, please kama jamaa anaendelea kuhangaika, amrudishe wife kwanza kwao then wewe mshee na yeye mpaka hapo kitakapoeleweka. Maana shetani anasera zake anaweza chora mchoro mkajikuja nyote watatu; wewe, rafiki yako na shemeji kawa maadui wakubwa.
 
Kitanda kimoja na bado hujamla!!!! Ama kweli ndiyo maana siku hizi dawa za kuongeza nguvu zinatangazwa sana.
 
inasikitisha kwamba huyu bwana baada ya kupata kibarua tu,kaoa kapanga na kununua mavitu kibao huku kazi haieleweki na si ya uhakika.

msaada mkubwa unatakiwa kumpa jamaa yako,kuwa muwazi mwambie maisha hayo huyawezi wape nauli au kodi ya miezi sita wachague la kufanya.kurudi kijijini au wakalipe kodi.au ampeleke wife njombe ajibanze sebuleni.kwisha
hiyo biashara ya kulala wote kitandani muache maana mkizidiwa hata mkewe akiondoka mtaendelea na hapo ndo mwanzo wa kutafunana wenyewe kwa wenyewe.
 
Mh.. mdau mimi naona kama unaigiza vile....utalalaje kitanda kimoja na wanandoa?? ina maana wewe hapa mjini huna hata marafiki kweli uwe unaomba kwenda kulala wakati jamaa yupo? Mimi ninafikiri umshauri huyo rafiki yako amrudishe mkewe kijijini alaf yeye abaki mjini kutafuta maisha siku akifanikiwa na kuwa na uwezo atamfwata mkewe. Hapo utajisababishia majaribu bure. Kuzuia hayo ujihami mapema kwa kutafuta namna ambayo huyo mwanamke atarudi kijijini au wewe ukatafute pa kulala kama kwako pako full huwez lala.
 
Haya makubwa. Omba kulala kwa jirani kisha we wapishe wana ndoa.
 
Waheshimiwa habari zenu!
Nina jamaa yangu mmoja ambaye tumesoma wote chuo. Ameoa na kwa sasa ana mtoto m1. Kutokana na kupunguzwa kazini kwa sasa anahangaika kutafuta kazi mikoani. Kodi ya Chumba chake cha hapa dar imekwisha tangu January na mwenye nyumba kawavumilia kashindwa, anawafukuza. Jamaa kwa kuzingatia mahusiano yetu ameniomba nikae nae kwa muda kwa vile mimi nimepanga chumba na sebule. Nilisita lakini baada ya jamaa kunibembeleza sana sikuwa na namna kwa vile lilikuwa ni suala la muda tu. Alipokuja yule dada kwa kweli niliona vyumba vimefurika balaa yaani hata kupita taabu achilia kulala na kupika. Kutokana na hali hiyo imetulazimu tutumie kitanda ki1 ambacho ni 6kwa6 ili angalau nafasi ibaki kwa matumizi mengine. Taabu ninayopata hasa usiku kwa kweli shahidi ni malaika; halafu mdada ni mlala hovyo. Siku tatu zimeshapita ndani ya majalibu, nifanyeje jamani na hawana ndugu hapa jijini kwao Songea? Shida si kula ila ulijali ndo kikwazo!
Ikiwa hukukusudia kustarehesha ukumbi tu, una chumba na sebule. Tafuta nafasi sebuleni, panga pangua upate pa kujibanza hapo.
Ushauri mwengine chukua ulopewa hapo juu wa wewe kuomba hifadhi kwa rafiki zako, na kama hatua ya mwisho, kopa hata nauli uwapeleke kwao, angalau huyo shemegi na mtoto. Vyenginevyo, itaonesha hata wewe unaifurahia hiyo hali ya kumwona shemeji yako analala vibaya. Kumbuka kuwa zinaa ipo hata ya macho. Mwogope Mungu, heshimu ndoa ya rafiki yako, heshimu urafiki wenu. LEO KWAKE, KESHO KWAKO.
 
Waheshimiwa habari zenu!
Nina jamaa yangu mmoja ambaye tumesoma wote chuo. Ameoa na kwa sasa ana mtoto m1. Kutokana na kupunguzwa kazini kwa sasa anahangaika kutafuta kazi mikoani. Kodi ya Chumba chake cha hapa dar imekwisha tangu January na mwenye nyumba kawavumilia kashindwa, anawafukuza. Jamaa kwa kuzingatia mahusiano yetu ameniomba nikae nae kwa muda kwa vile mimi nimepanga chumba na sebule. Nilisita lakini baada ya jamaa kunibembeleza sana sikuwa na namna kwa vile lilikuwa ni suala la muda tu. Alipokuja yule dada kwa kweli niliona vyumba vimefurika balaa yaani hata kupita taabu achilia kulala na kupika. Kutokana na hali hiyo imetulazimu tutumie kitanda ki1 ambacho ni 6kwa6 ili angalau nafasi ibaki kwa matumizi mengine. Taabu ninayopata hasa usiku kwa kweli shahidi ni malaika; halafu mdada ni mlala hovyo. Siku tatu zimeshapita ndani ya majalibu, nifanyeje jamani na hawana ndugu hapa jijini kwao Songea? Shida si kula ila ulijali ndo kikwazo!

lol we unaeomba ushauri tu hapa tayari umechemka, mi naona una nia mbaya wewe yani una chumba na sebule then ukatafuta 6 kwa 6 ili ulale na mke wa mwenzio kwa nini wasilalie hata godoro sebuleni. Usimfanyid rafikiyo k2 mbaya wakati ana shida utamuumiza sana hatokuja kusahau, tafuta gf na we ulale nae kwako waache wenzio walale hata sebuleni, kumsaidia m2 sio lazima alale chumbani.
 
AU umeshamega wewe ****...na unataka kujiridhisha tu humu ndani? maana unang'ang'ania tu kwamba haiwezekani kulala tofauti badala ya kufanyia kazi unayoshauriwa. kwanza hata kama haujamega kitendo cha kulala na mwanandoa ni usaliti tosha kwani lazima utazini kifikra wewe kama unaona imeshindikana kulala tofauti fanya usamaria na umpe nauli.....haki haiingii akilini wewe huna ndugu wa kike hapa mjini ukamuombea awe analala huko?
 
Hapo cha muhimu ni kumsafirisha huyo mkewe na jamaa ili jamaa abaki mjini ajaribu kutafuta kazi kwa kipindi fulani kama miezi sita hivi akipata amrudishe mkewe mjini waendelee na maisha na akikosa akashike jembe kijijini ili akipata pesa arudi tena mjini kusaka maisha, sio siri utamsaidia ila itafikia mahali utachoka bwana mkuba
 
Fanya hima uende ukamwokoe. Ameanzisha hii sredi kusisitiza kuwa anakuhitaji kuliko mahitaji. Kwenye 6x6 wanaume watapeana makalio pale kati na wakike mtakuwa pembezoni.
cjaelewa unamaana gan au we n agent wa sodoma n gomolrah
 
Waheshimiwa habari zenu!
Nina jamaa yangu mmoja ambaye tumesoma wote chuo. Ameoa na kwa sasa ana mtoto m1. Kutokana na kupunguzwa kazini kwa sasa anahangaika kutafuta kazi mikoani. Kodi ya Chumba chake cha hapa dar imekwisha tangu January na mwenye nyumba kawavumilia kashindwa, anawafukuza. Jamaa kwa kuzingatia mahusiano yetu ameniomba nikae nae kwa muda kwa vile mimi nimepanga chumba na sebule. Nilisita lakini baada ya jamaa kunibembeleza sana sikuwa na namna kwa vile lilikuwa ni suala la muda tu. Alipokuja yule dada kwa kweli niliona vyumba vimefurika balaa yaani hata kupita taabu achilia kulala na kupika. Kutokana na hali hiyo imetulazimu tutumie kitanda ki1 ambacho ni 6kwa6 ili angalau nafasi ibaki kwa matumizi mengine. Taabu ninayopata hasa usiku kwa kweli shahidi ni malaika; halafu mdada ni mlala hovyo. Siku tatu zimeshapita ndani ya majalibu, nifanyeje jamani na hawana ndugu hapa jijini kwao Songea? Shida si kula ila ulijali ndo kikwazo!

pole sana kwa hyo ungekuwa rijar ungekua ushamsalit mwana?
 
duh! Pole san kaka! Me nafikiri da best way ni kuwatafutia nauli warudi kwao kijijin coz ka ni msaada utatoa til lin? Kulala nao kitanda kimoja sio fresh,mwambie jamaa hali halisi mpe nauli asepe !!!
 
ooouuphhh.... hii balaa, ngoja niingie makavazini faster, nikapekue pekue coz hili linahitaji majibu ya kitaalamu na kisaikolojia zaidi.. but please till when Im back dont &dont do any thing stupid to your in-law hata kama ana amitego...
 
Lala kwenye kochi/sofa!Mtu mzima utalalaje na wanandoa kitanda kimoja?

Sasa na wewe unalalaje kitanda kimoja na wanandoa?? Waachie kitanda wewe lala sebuleni
Wote wawili hamjaelewa,mwenye mke yuko mikoani anatafuta kazi na huyu mharibifu kaja na mbinu eti hamna nafasi ya vitu kwahiyo yeye na mke wa rafiki walale kitanda 1 na anadai eti analala kihasara.Mila gani inamruhusu kulala kitanda 1 na mke wa mtu ???
 
mhh!hii nayo kazi!
Yani mnalala kitanda kimoja kabisa? wewe na mke wa mtu???
Huyo jamaa anajua? na mke wake anasemaje? analala kavaa nguo nyingi au ni nyepesi kabisa? na mtoto je?
hapo una kazi. nafuu ukalale kwenye kochi kama ulivyoshauriwa! unatafuta mabalaa mengi mno!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom