Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Kwani huyo mdada naye anataka ummege au wewe unadhania uukitaka kummega yeye hatakataa?
Wewe unataka kumtafunia mwenzio mkewe..unatafuta ruhusu tu humu jamvini umtende rafikiyo. Rafiki yako has been through so much already. hakuna kitu kibaya kama mwanaume afukuzwe/aachishwe kazi, kisha afukuzwe kwenye nyumba sababu ya kodi, atangetange na familia yake...halafu at*mbewe mkewe, tena na rafiki yake! You will completely break your friend to death...please no matter what, DON'T DO IT!
Sasa na wewe unalalaje kitanda kimoja na wanandoa?? Waachie kitanda wewe lala sebuleni
Well said, Mwera mungu akubariki kwa ushauri wa busara. Fuata ushauri huu mleta mada mama aende nyumbani akapumzike kwanza wakati baba anaendelea kutafuta, wape pole sana hakuna kipindi kigumu kama unapokua huna kazi.Wapatie nauli waende songea nyumbani kwao wakajipange upya,mambo yakiwa sawa arudi mwanaume pekeyake dar kutafta kazi akipata apange chumba amlete wife wake waanze maisha.
Nikupongeze kwa moyo mkuu wa kumsaidia rafiki yako kipenzi! Hilo linampa shida sana iblisi kwani usha score point kibao kwa Sir God....yaani saa hizi Mungu anakunywa chai ya maziwa hivi sasa kila kuangaliapo ulivyosimama imara katika hili!
Kuona hivyo Ibilisi amepatwa wivu na chuki mkubwa dhidi yako na utukufu wa Mungu, Amepania kula VICHWA yaani hapa wewe, rafikiyo na shemeji mtaangukia shimoni!
Mungu akutie nguvu......kitendo cha wewe upata shida ni dalili ya ushindi!
Lakini nao wana set nzima ya makochi na tumezibebanisha pamoja hivyo hata kulala humo ni kazi ndo maana nashindwa kufanya hivyo, nilitegemea labda mtanishauri vinginevyo. Sihitaji kummega huyu dada!
Wewe unataka kumtafunia mwenzio mkewe..unatafuta ruhusu tu humu jamvini umtende rafikiyo. Rafiki yako has been through so much already. hakuna kitu kibaya kama mwanaume afukuzwe/aachishwe kazi, kisha afukuzwe kwenye nyumba sababu ya kodi, atangetange na familia yake...halafu at*mbewe mkewe, tena na rafiki yake! You will completely break your friend to death...please no matter what, DON'T DO IT!
Nikupongeze kwa moyo mkuu wa kumsaidia rafiki yako kipenzi! Hilo linampa shida sana iblisi kwani usha score point kibao kwa Sir God....yaani saa hizi Mungu anakunywa chai ya maziwa hivi sasa kila kuangaliapo ulivyosimama imara katika hili!
Kuona hivyo Ibilisi amepatwa wivu na chuki mkubwa dhidi yako na utukufu wa Mungu, Amepania kula VICHWA yaani hapa wewe, rafikiyo na shemeji mtaangukia shimoni!
Mungu akutie nguvu......kitendo cha wewe upata shida ni dalili ya ushindi!
Wewe unataka kumtafunia mwenzio mkewe..unatafuta ruhusu tu humu jamvini umtende rafikiyo. Rafiki yako has been through so much already. hakuna kitu kibaya kama mwanaume afukuzwe/aachishwe kazi, kisha afukuzwe kwenye nyumba sababu ya kodi, atangetange na familia yake...halafu at*mbewe mkewe, tena na rafiki yake! You will completely break your friend to death...please no matter what, DON'T DO IT!
kwan kwa umri uo umeona miili mingap?Ishu sio kummega peke yake..
Je akilala vibaya ukaona
mwili wake,unajisikiaje?????
Lakini nao wana set nzima ya makochi na tumezibebanisha pamoja hivyo hata kulala humo ni kazi ndo maana nashindwa kufanya hivyo, nilitegemea labda mtanishauri vinginevyo. Sihitaji kummega huyu dada!
Even worse...atalalaje na mke wa rafikiye kitanda kimoja?