Nitatoa zawadi ya 200,000

huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
Mbona puvu sana bro?
Soma vuziuri maelezo ya mleta mada hapo juu
 
Mkuu hili Kosa ni la kwako. na pole sana. hapo utaisoma namba
 
Pole sana mkuu mwenyew hayo yalisha nitokea saana, ila ya maramwisho nilikosea nikamtumia mtu pesa ndefu kidogo. nahisi hata uliotuma wewe haifikii. nikawasiliana nae huku nikimuomba anirudishie pesa yangu, sim akazima na laini akatupa. sikutaka kujisumbua, nikajisogeza Bariadi. hapakupita wiki 2 pesa amerudisha yeye mwenyewe. nimeshangaa tu mtu kanipigia namba ngeni... nikaletewa pesa japo alikua tayari alisha tumia kama Nusu. ila yoote amelipa, pole sana
 
Umeona ushimeni alivyofanya makosa... Huyu mtu akienda mahakamani Ushimen haponi...
Tena anaweza sema ile hela alimtumia alikuwa anamdai!
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
 
Mkuu ata kwa sangoma nenda tu mfundishe adabu
Na utuletee mrejesho hapa jukwani.
Hawa vibaka wanaomtetea wasikutishe
 
kuna page moja ya instagram inaitwa usipojipanganitakupanga mtafute huyo mtu atakusaidia kiboko ya matapeli
 
Ulisha wahi kufanya transactions kutoka kwa bank accounts to sim bank?
Na kama unahisi sijaipata kihalali, kwanini uamini kwamba ilimstahili ambae hakuitolea jasho?
By the way........
Huu uzi umenisaidia na nimefanikiwa kwa 90%
 
Ni kosa kisheria kutumia pesa ambayo umeipokea kimakosa, sheria inakushurutisha kurudisha sehemu ilipotoka
Mkuu.....
Humu wengi wanao mtetea huyo mwizi ni wenye njaa na tamaa.
Bahati mbaya wanao tetea uovu huu, hawajui kwamba hilo ni kosa la wizi wa kwenye mitandao
 
Haya ndio madhara yaku comment uzi ikiwa hauja elewa ama pasipo kusoma mtiririko mzima wa maudhui
 
Hakuna kilicho geuka mkuu, haya mambo hayataki ujuaji na ujanja ujanja.
Sheria ni msumeno
 
Umeona ushimeni alivyofanya makosa... Huyu mtu akienda mahakamani Ushimen haponi...
Hapa saivi ningeweza kusema lolote, lakini kwakua swala hili lipo mikononi mwa sheria, naomba ninyamaze ingawa nimefanikiwa kwa 90%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…