GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
Yaani Timu ina Kiongozi mwana Avic Town Kigamboni FC, ina Kaimu Afisa Habari Mnafiki mwana Avic Town Kigamboni FC na Mtaalam wa Ufundi mwana Avic Town Kigamboni FC halafu kabisa wana Simba SC mnajipa Moyo kuwa itafungwa ili tofauti ya Alama iendelee kuwa Kubwa?
Nawashauri msipoteze kabisa muda Wenu Kuitizama na ni kheri huo muda wa hiyo Mechi muitumie kwa kuwa hapa JamiiForums au kuwa Gesti / Loji Kubandua tu Totooz au Kubeti Mikeka mbalimbali ya Mechi Kubwa Kubwa za Kimataifa.
Baby Mbande Mbagala FC kwa Siku za karibuni huwa hana Uchoyo wa kumpa Mumewe Avic Town Kigamboni FC hivyo ataamua tu akandamize Goli / Bao ngapi mpaka aridhike.
Nawashauri msipoteze kabisa muda Wenu Kuitizama na ni kheri huo muda wa hiyo Mechi muitumie kwa kuwa hapa JamiiForums au kuwa Gesti / Loji Kubandua tu Totooz au Kubeti Mikeka mbalimbali ya Mechi Kubwa Kubwa za Kimataifa.
Baby Mbande Mbagala FC kwa Siku za karibuni huwa hana Uchoyo wa kumpa Mumewe Avic Town Kigamboni FC hivyo ataamua tu akandamize Goli / Bao ngapi mpaka aridhike.