Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,910
Kwanini atheist na sio kukufanya kuwa na msimamo mwengine tofauti na atheist?Biblia ni moja ya vitabu vilivyotufanya tuwe atheist leo hii
Kwanini atheist na sio kukufanya kuwa na msimamo mwengine tofauti na atheist?Biblia ni moja ya vitabu vilivyotufanya tuwe atheist leo hii
Nitakuignore naww uignore uislamu kama hupendiNiignore sasa....Au niban kama Maxence ni Baba ako
msimamo kama upi?Kwanini atheist na sio kukufanya kuwa na msimamo mwengine tofauti na atheist?
Labda Tanzania, ila kwa nchi nyingi ambazo ni Muslim majority kubadili Dini ni kosa la jinai ambalo adhabu yake huweza kuwa hata kifoMkuu mbona kuna watu kibao tu wamebadili dini kutoka uislamu na kuwa wakristo na hawajafanywa kitu wanaishi maisha yao kama kawaida au hujawahi kuona?
Nimekuambia siupendi?Nitakuignore naww uignore uislamu kama hupendi
Mi habari za Dini nimeachana nazo nikiwa Sekondari na sikuwa na helaAtheist ni wakristo ambao wanapesa mingi ivyo kiburi cha pesa na sayansi ndio kinakuwa ivyo. Wakifirisika wanarudi kwenye dini
Kila kitu kina mwanzo wake ila kiakili lazima kiwepo kisicho na mwanzo ambacho ndio chanzo cha vitu vyote,bila ya hivyo basi kusingekuwa na chochote maana ili kipatikane kitu lazima kiwepo chanzo.Kama simu imetengenezwa haimaanishi aliyetengeneza alijitengeneza
Kama dunia na vinginevyo viliumbwa haimaanishi aliyeumba alijiumba au haitaji muumbaji
Ukisema muumbaji wa ulimwengu hana muumba unakua huna tofauti na anayekubali simu ina mtengenezaji ila ulimwengu hauna muumbaji
Kuna masuala ya bima, likizo, posho mbalimbali na likizo pia mkuu, ukiwa kwenye ndoa (hasa mke) unakua na advantage kubwa kuliko ambaye hajaolewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapa uliambiwa ofsini leteni cheti cha ndoa ili uandike madai kuwa una mke baada ya kulipoti kazini,
Tatizo wewe Ni mzushi fulaninadhani kwasababu si dini sahihi ns haijatimia.
i do not stand to be corrected!. kila mtu akae na mawazo yake!.
logical fallacy of special pleadingKila kitu kina mwanzo wake ila kiakili lazima kiwepo kisicho na mwanzo
huu ni uwongo, nini chanzo cha mungu?ambacho ndio chanzo cha vitu vyote,bila ya hivyo basi kusingekuwa na chochote maana ili kipatikane kitu lazima kiwepo chanzo.
Mimi nitazikwa makaburi ya familia nyumbanihivi nyie ambao hamnaga dini mkifaga mnazikwaga wapi?
Maana huwa tunawaona mpo busy kwenye makaburi yetu(wenye dini)
Sasa mtoto mdogo wa kuzaliwa leo anawezaje kuwa na msimamo wa kwamba hakuna Mungu?Wote tumezaliwa tukiwa atheist, dini tulikuja kuzifata baada ya kuja kuwa indoctrinated
Mtu kuwa atheist haimaanishi kabadili asili yake bali kairejea asili yake ambayo mwanzo aliikacha
Binaadamu tunatofautiana na ndio maana kuna watu makatili wanauwa wenzao na kuna wanadhurumu wenzao,je hao watu utadeal nao vp kwa mujibu hiyo dini yako?Nami naona hivyo, japo sipo upande wowote wa hizi dini kuu bado nina falsafa yangu, naamini katika upendo kwa watu wote na viumbe vyote
Comments zako nyingi za kuhusu Islam's ni za kuukejeli why?Nimekuambia siupendi?
Masimulizi yanaweza kutungwa tu mkuu, anyway mimi sio muumini wa Ukristo wala Uislam au dini nyingine kuuTembelea channel ya Davistar Mata
Youtube uone mikasa ya watu hasa ya kichawi na jinsi walivyookolewa labda utaamini uwepo wa Mungu na Mungu ana nguvu kiasi gani.
Ukweli ni kwamba Mungu yupo na shetani yupo pia.Sisi wanadamu ndio uwanja wa mapambano baina ya hizi nguvu mbili. Mawazo uliyonayo kuwa hakuna dini(Mungu) si yako bali ni ufahamu wa kipepo ndo umekufunga. Usichukulie poa
Mi mtoto abatize tu ila Mimi aniache huruNna kesi kama yako mkuu,
Ila naamini mungu yupo lkn siamini dhehebu lolote lile wala kitabu cha dini chochote hapa duniani...
Nna kesi kubwa sana na mke wangu ya kukataa kubatiza watoto, sijui tunaimalizaje naoana wakwe nao wanaleta habari zisizoeleweka.
IslamIpi iliyotimia?
Tuanze na Huu uzi wapi nimekejeli?Usilete story za uzi ule na ule wa siku ile kwanini usingeniambia hukohuko?Tuanze hapa hapaComments zako nyingi za kuhusu Islam's ni za kuukejeli why?
Maisha hayapo hivyo boss jifunze kuheshimu Imani za watu.
atheism ni absence or lack of belief wakati theism ni kinyume chake, sasa huyo mtoto anawezaje kua na dini au imani ya uwepo wa mungu?Sasa mtoto mdogo wa kuzaliwa leo anawezaje kuwa na msimamo wa kwamba hakuna Mungu?